Kuna Mtu anaenda 'Kuabishwa' na kutokuja kwa Aziz K Klabuni Kwake ambako amewadanganya kuwa amemalizana nae

Kuna Mtu anaenda 'Kuabishwa' na kutokuja kwa Aziz K Klabuni Kwake ambako amewadanganya kuwa amemalizana nae

Yaani Klabu kama Berkane FC wamtake na Wewe na Vipesa vyako vya Dhuluma na Ukwepaji Kodi wa Ofisi yako ya Salamander Posta ndiyo umpate?

Jiandae Kuumbuka tu Kudadadeki!!!!
Mtateseka sana safari hii, Biashara ya Aziz ki tulishafunga huo mjadala, Namna ya kumtambulisha sisi ndo tunajua atupangiwi na mtu wala atusukumwi na umbea wa mitandaoni au kwenye vijiwe vya kahawa, Pesa ni sabuni ya roho ukiwa mbahili utakuwa unaona vinono vinachukuliwa na mwenzako na wewe unaambulia makapi
 
Yaani Klabu kama Berkane FC wamtake na Wewe na Vipesa vyako vya Dhuluma na Ukwepaji Kodi wa Ofisi yako ya Salamander Posta ndiyo umpate?

Jiandae Kuumbuka tu Kudadadeki!!!!
Phrasing ya sentensi inakushinda sana
 
Mtateseka sana safari hii, Biashara ya Aziz ki tulishafunga huo mjadala, Namna ya kumtambulisha sisi ndo tunajua atupangiwi na mtu wala atusukumwi na umbea wa mitandaoni au kwenye vijiwe vya kahawa, Pesa ni sabuni ya roho ukiwa mbahili utakuwa unaona vinono vinachukuliwa na mwenzako na wewe unaambulia makapi
"Tulishafunga"?? Wewe ulishiriki kwenye kuifunga hiyo biashara au umeamua kuropoka tu.

Labda kama ulishiriki kufunga biashara yako ya nyanya huko mtaani kwenu.
 
Muda muda utatupa ukweli. Uzuri siku hazigandi
 
"Tulishafunga"?? Wewe ulishiriki kwenye kuifunga hiyo biashara au umeamua kuropoka tu.

Labda kama ulishiriki kufunga biashara yako ya nyanya huko mtaani kwenu.
Usiwe unakurupukia watu usiowajua wewe ndezi wa umbumbuni, shika adabu yako! Narudia tena hoja ya Aziz ki tulishaimaliza tafuteni ujinga mwingine wa kutuliza maumivu yenu!
 
Usiwe unakurupukia watu usiowajua wewe ndezi wa umbumbuni, shika adabu yako! Narudia tena hoja ya Aziz ki tulishaimaliza tafuteni ujinga mwingine wa kutuliza maumivu yenu!
Hakukuwa na haja ya kupanick hivyo ndugu chura, hata kaa ni kweli Aziz kakamilisha dili la kuwepo pale Yanga Sc aliyemaliza dili ni GSM sio wewe, kwahiyo hutakiwi kujijumlisha hapo.

Wewe unaweza kamilisha biashara ya nyanya tu huko mtaani kwenu.
 
Hakukuwa na haja ya kupanick hivyo ndugu chura, hata kaa ni kweli Aziz kakamilisha dili la kuwepo pale Yanga Sc aliyemaliza dili ni GSM sio wewe, kwahiyo hutakiwi kujijumlisha hapo.

Wewe unaweza kamilisha biashara ya nyanya tu huko mtaani kwenu.
Sawa sawa,, 🚮
 
oscaroscarjr~p~CftVPy7qNSV~1.jpg
 
Mtateseka sana safari hii, Biashara ya Aziz ki tulishafunga huo mjadala, Namna ya kumtambulisha sisi ndo tunajua atupangiwi na mtu wala atusukumwi na umbea wa mitandaoni au kwenye vijiwe vya kahawa, Pesa ni sabuni ya roho ukiwa mbahili utakuwa unaona vinono vinachukuliwa na mwenzako na wewe unaambulia makapi
Kwahiyo pumzi ya kutangaza kila SAA sita usiku imekataaaa. Naona mnajaribu kuwafuata ssc
 
Yaani Klabu kama Berkane FC wamtake na Wewe na Vipesa vyako vya Dhuluma na Ukwepaji Kodi wa Ofisi yako ya Salamander Posta ndiyo umpate?

Jiandae Kuumbuka tu Kudadadeki!!!!
Kitaifa
-Yassin mustapha
emoji1666.png

-Deus kaseke
emoji1666.png

-Paulo Godfrey
emoji1666.png

-Balama mapinduzi
emoji1666.png

-Ramadhani kabwili
emoji1666.png

-Abdallah Shaibu
emoji1666.png


emoji617.png
KIMATAIFA.

-Chico ushindi wa kubanza
emoji777.png

-Saido Ntibazonkiza
emoji777.png


Waliosalia Yanga sc 2022-23

-Djugui Diarra✓

-Djuma shabani✓

-Yannick litombo bangala✓

-Khalid Aucho✓

-Fiston kalala Mayele✓

-Yacouba songne(Loans) kwa sasa wapo kwenye mazungumzo ya mkataba mpya.
emoji352.png

-Jesus Ducäpel Moloko.✓

-Heriter Ebenezer Makambo.✓

emoji3040.png
WAPYA KIMATAIFA

-Benard Morrison.
-Lazaouros kambole.
-Joyce Lomalisa mutambala.
-Gaël Bigirimana.
-Stephine Azizi ki.

emoji973.png
️ KITAIFA WATAKAOKWENDA KWA MKOPO.

-Omary chibada u21
-Geofrey magaijwa u21

Kuna wachezaji wanne Kutoka timu ya vijana ya u21 watapandishwa na watatu watatolewa kwa mkopo kwenda kwenye timu za ligi kuu Nbc primier league.
 
Back
Top Bottom