GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama una familia basi imepata hasara kubwaYaani Klabu kama Berkane FC wamtake na Wewe na Vipesa vyako vya Dhuluma na Ukwepaji Kodi wa Ofisi yako ya Salamander Posta ndiyo umpate?
Jiandae Kuumbuka tu Kudadadeki!!!!
Kuna Watu Wameishiwa Pesa baada ya zote kutumika Kukodi Lori Maalum kutoka nchini Uganda ili lije Kuwazungusha Mjini kama Mitahaira na Misukule.Sema kimeumanaaa😀
Mtateseka sana safari hii, Biashara ya Aziz ki tulishafunga huo mjadala, Namna ya kumtambulisha sisi ndo tunajua atupangiwi na mtu wala atusukumwi na umbea wa mitandaoni au kwenye vijiwe vya kahawa, Pesa ni sabuni ya roho ukiwa mbahili utakuwa unaona vinono vinachukuliwa na mwenzako na wewe unaambulia makapiYaani Klabu kama Berkane FC wamtake na Wewe na Vipesa vyako vya Dhuluma na Ukwepaji Kodi wa Ofisi yako ya Salamander Posta ndiyo umpate?
Jiandae Kuumbuka tu Kudadadeki!!!!
Phrasing ya sentensi inakushinda sanaYaani Klabu kama Berkane FC wamtake na Wewe na Vipesa vyako vya Dhuluma na Ukwepaji Kodi wa Ofisi yako ya Salamander Posta ndiyo umpate?
Jiandae Kuumbuka tu Kudadadeki!!!!
"Tulishafunga"?? Wewe ulishiriki kwenye kuifunga hiyo biashara au umeamua kuropoka tu.Mtateseka sana safari hii, Biashara ya Aziz ki tulishafunga huo mjadala, Namna ya kumtambulisha sisi ndo tunajua atupangiwi na mtu wala atusukumwi na umbea wa mitandaoni au kwenye vijiwe vya kahawa, Pesa ni sabuni ya roho ukiwa mbahili utakuwa unaona vinono vinachukuliwa na mwenzako na wewe unaambulia makapi
Usiwe unakurupukia watu usiowajua wewe ndezi wa umbumbuni, shika adabu yako! Narudia tena hoja ya Aziz ki tulishaimaliza tafuteni ujinga mwingine wa kutuliza maumivu yenu!"Tulishafunga"?? Wewe ulishiriki kwenye kuifunga hiyo biashara au umeamua kuropoka tu.
Labda kama ulishiriki kufunga biashara yako ya nyanya huko mtaani kwenu.
Hakukuwa na haja ya kupanick hivyo ndugu chura, hata kaa ni kweli Aziz kakamilisha dili la kuwepo pale Yanga Sc aliyemaliza dili ni GSM sio wewe, kwahiyo hutakiwi kujijumlisha hapo.Usiwe unakurupukia watu usiowajua wewe ndezi wa umbumbuni, shika adabu yako! Narudia tena hoja ya Aziz ki tulishaimaliza tafuteni ujinga mwingine wa kutuliza maumivu yenu!
Sawa sawa,, 🚮Hakukuwa na haja ya kupanick hivyo ndugu chura, hata kaa ni kweli Aziz kakamilisha dili la kuwepo pale Yanga Sc aliyemaliza dili ni GSM sio wewe, kwahiyo hutakiwi kujijumlisha hapo.
Wewe unaweza kamilisha biashara ya nyanya tu huko mtaani kwenu.
Hawajitambui
Kwahiyo pumzi ya kutangaza kila SAA sita usiku imekataaaa. Naona mnajaribu kuwafuata sscMtateseka sana safari hii, Biashara ya Aziz ki tulishafunga huo mjadala, Namna ya kumtambulisha sisi ndo tunajua atupangiwi na mtu wala atusukumwi na umbea wa mitandaoni au kwenye vijiwe vya kahawa, Pesa ni sabuni ya roho ukiwa mbahili utakuwa unaona vinono vinachukuliwa na mwenzako na wewe unaambulia makapi
Nasoro Kapama DEAL DONEKwahiyo pumzi ya kutangaza kila SAA sita usiku imekataaaa. Naona mnajaribu kuwafuata ssc
KitaifaYaani Klabu kama Berkane FC wamtake na Wewe na Vipesa vyako vya Dhuluma na Ukwepaji Kodi wa Ofisi yako ya Salamander Posta ndiyo umpate?
Jiandae Kuumbuka tu Kudadadeki!!!!