Kuna mtu anahitimu chuo kikuu kwa kozi ya Bachelor of Education in Physics, Je anaweza kutumia cheti cha f4 au f6 kuanza kozi nyingine

Kuna mtu anahitimu chuo kikuu kwa kozi ya Bachelor of Education in Physics, Je anaweza kutumia cheti cha f4 au f6 kuanza kozi nyingine

icon_2000

Senior Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
177
Reaction score
256
Naombeni kuuliza hapa kuna nduguu angu anahitimu chuo kikuu kwa kozi ya bachelor of education in physics,
Je anaweza kutumia cheti cha f4 au f6 kuweza kuanza kozi nyingine mbali na hiyo
 
Naombeni kuuliza hapa kuna nduguu angu anahitimu chuo kikuu kwa kozi ya bachelor of education in physics,
Je anaweza kutumia cheti cha f4 au f6 kuweza kuanza kozi nyingine mbali na hiyo
Ndiyo na hata akitaka akimaliza hiyo ya pili akaongeze degree ya tatu ya kitu kingine anaruhusiwa , anaweza kuwa hata na degree nne au zaidi tofauti kulingana na matakwa yake, ni uchumi wake tuu kama utamruhusu
 
Hiyo course kazi zake zipo nje nje . Kazi ya uwalimu siyo mbaya issue ni mind set tu.
 
Ndiyo na hata akitaka akimaliza hiyo ya pili akaongeze degree ya tatu ya kitu kingine anaruhusiwa , anaweza kuwa hata na degree nne au zaidi tofauti kulingana na matakwa yake, ni uchumi wake tuu kama utamruhusu
Na vipi kama ataajiliwa serikalini anaweza kufundisha uku akwa anasoma
 
Kweli kabixa kaka,ila labda nahisi anataka kuongeza wigo
Apate kazi kwanza. Afanye kwa muda kisha akiwa ndani humo ndo atajua nn kinahitajika ndo akasome hicho. Masters kazi yake ni ku cement kile ukichosoma undergraduate.
Tumeelewana hapo???
 
Hapana ci
Apate kazi kwanza. Afanye kwa muda kisha akiwa ndani humo ndo atajua nn kinahitajika ndo akasome hicho. Masters kazi yake ni ku cement kile ukichosoma undergraduate.
Tumeelewana hapo???
jaelewa kaka,nifafanulie kidogo
 
Back
Top Bottom