Kuna mtu anajua viwanda vinavotoa ajira kwa Dar na Pwani?

Kuna mtu anajua viwanda vinavotoa ajira kwa Dar na Pwani?

Johney77

New Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2
Reaction score
1
Jamani kama mnavojua vijana wengi hawana ajira.

Kwahiyo mwenye kujua kiwanda kinachotoa ajira kwa Dar na Pwani naombeni msaada
 
Tusaidiane nafasi za Ajira bado zipo? Tukajaribu bahati uko
Nafasi zipo, je una PESA? Nisikudanganye mkuu kama huna pesa tena kazi za viwandani utasugua sana. Unatoa hongo unaingia kazini hali hii ni kawaida sana sasa hivi. Otherwise uwe na mtu hiyo sehemu.
 
Nafasi zipo, je una PESA? Nisikudanganye mkuu kama huna pesa tena kazi za viwandani utasugua sana. Unatoa hongo unaingia kazini hali hii ni kawaida sana sasa hivi. Otherwise uwe na mtu hiyo sehemu.
Icho kiwanda kinanya production ya bidhaa gani na mshahara kwa unavyojua ni kiasi gani? Na ilo swala la kuhonga unahonga bei gani naomba kutambua
 
Icho kiwanda kinanya production ya bidhaa gani na mshahara kwa unavyojua ni kiasi gani? Na ilo swala la kuhonga unahonga bei gani naomba kutambua
Kwanza sijasema kiwanda, numesema viwanda. KAZI nyingi za viwandani lazima utoe hongo hayo ni makubaliano ya mtu anayeku konekti yeye alitoa kiasi gani ukaingia kazini. Halafu siwezi kutaja ni kiwanda gani maana hii mitandao hapana. Halafu kuhusu kiwanda ni production za bidhaa. Ndani ya hizo production ungeuliza ni position ipi? Kuna wale layman, kuna sales person, kuna wale production wanatumia mashine kuzalisha, kuna ma drivers, kuna suppliers, kuna bursars n.k. nishafanya kiwanda fulani kwenye production kila siku ni Tsh 9000.
 
Kwanza sijasema kiwanda, numesema viwanda. KAZI nyingi za viwandani lazima utoe hongo hayo ni makubaliano ya mtu anayeku konekti yeye alitoa kiasi gani ukaingia kazini. Halafu siwezi kutaja ni kiwanda gani maana hii mitandao hapana. Halafu kuhusu kiwanda ni production za bidhaa. Ndani ya hizo production ungeuliza ni position ipi? Kuna wale layman, kuna sales person, kuna wale production wanatumia mashine kuzalisha, kuna ma drivers, kuna suppliers, kuna bursars n.k. nishafanya kiwanda fulani kwenye production kila siku ni Tsh 9000.
Napataje mawasiliano yako inaonyesha unaweza nisaidia jambo nikapata ajira
 
Napataje mawasiliano yako inaonyesha unaweza nisaidia jambo nikapata ajira
PM kuna mtu yupo sehemu ana nafasi kubwa nitajaribu japo huwa anaombwa na watu wengi. zingatia tu endelea kutafuta na sehemu zingine usitegemee sehemu moja. Narudia tena nitajaribu kuongea nae ikiwezekana sawa ikishindikana sawa maisha yanasonga!
 
Elf 5 kwa siku kwa masaa 10 ya kumzalishia muhindi ukirudi home lazima upitie panadol una akili kweli. Hela inaishia kwenye nauli na mama ntile unabakia na mia 5 nauli ya kesho tena kuwahi kazi ya umanamba kisa tu upo mjini.
 
Elf 5 kwa siku kwa masaa 10 ya kumzalishia muhindi ukirudi home lazima upitie panadol una akili kweli. Hela inaishia kwenye nauli na mama ntile unabakia na mia 5 nauli ya kesho tena kuwahi kazi ya umanamba kisa tu upo mjini.
5000 no kwa sauti kubwa
 
5000 no kwa sauti kubwa
Si zaidi ya hio KWA wengi.
Kupakia viroba,ndoo za mafuta kwenye semi kumi KILA siku.
Unapiga Kazi mwili wote unauma hadi unakumbuka kwann ukumaliza shule angalau ukawa Mwalimu wa hata tuition Ili maisha yasonge.
 
5000 no kwa sauti kubwa
Wapo wanaolipwa ela nzuri mbona😂😂 the problem uwe na vyeti halafu na mtu pia. Hiyo elfu5 ni wengi ambao hawana vyeti. Nina watu naishi nao ma layman ukiingia chumbani kwake unaweza kukataa ni swala la mipango tu. Mtaji wa maskini ni nguvu zake
 
Si zaidi ya hio KWA wengi.
Kupakia viroba,ndoo za mafuta kwenye semi kumi KILA siku.
Unapiga Kazi mwili wote unauma hadi unakumbuka kwann ukumaliza shule angalau ukawa Mwalimu wa hata tuition Ili maisha yasonge.
😂😂😂😂 Unasoma na ukija mjini kutafuta elimu unaiweka pembeni unapambana mambo yatajipa uko mbeleni tu amna namna
 
Wapo wanaolipwa ela nzuri mbona😂😂 the problem uwe na vyeti halafu na mtu pia. Hiyo elfu5 ni wengi ambao hawana vyeti. Nina watu naishi nao ma layman ukiingia chumbani kwake unaweza kukataa ni swala la mipango tu. Mtaji wa maskini ni nguvu zake
Vyeti Vipo mdau lete connection mafanikio ni swala la muda na nidhamu ya pesa
 
Back
Top Bottom