Wewe kama wewe, Mungu anakuonaje...?Muhimu kuliko vyote ni kwamba Mungu anakuchuliaje wewe, halafu pili wewe unajichukuliaje. Maoni ya watu wengine kuhusu wewe yasikuumize sana kwasababu wanadamu tuna LIMITED ALTRUISM. Huwezi kupendwa na wanadamu wote na pia huwezi kuchukiwa na wanadamu wote: Mtu ambaye hanilishi wala hanivishi akinipuuza au kunisifia huwaga siwazi kabisa, maana Mungu anavyoniona na mimi ninavyojiona ndiyo muhumu zaidi.
Hili ni la kwangu binafsi na hata ukilifahamu haliwezi kukusaidia mkuu.
Exactly the Point,........Kama mtu yupo nje ya cycle yako
Je, Kuna umuhimu wa kujua anakufikiriaje maana huwa naona kama unamuuliza mtu kuhusu imaginations zake badala ya reality
Kuonekana mjinga Huwa Ni njia ya kupendwa na watu wote. Walimwengu huwapenda wajinga ili wapate kuwadharau. Ukionekana mwerevu hutapata kampani
Anajua anachokijua yeye sijaingia kwenye akili yake kwa hiyo asiniumize kichwa kutaka nijue ananichukuliaje.MARA nyingi AKILI yangu huwa inafanya kazi kulingana na mtu ninaekutana nae.
Kuna mtu anajua mimi ni mjinga.
Kuna mtu anajua mimi ni mtu mwenye upeo mpana wa kufikiri.
Kuna mtu anajua mimi ni mpole harafu kuna mtu anajua mimi ni bonge la mkorofi.
Kuna mtu anajua mimi ni mcheshi harafu kuna mtu anajua mimi ni bonge la kauzu...![emoji119][emoji2217]
Je, kwa upande wako hapo kuna mtu anajua wewe ni.......(malizia hapo).
Sent from my TECNO R6 using JamiiForums mobile app