Martin BM
Member
- Jul 2, 2020
- 16
- 22
MARA nyingi AKILI yangu huwa inafanya kazi kulingana na mtu ninaekutana nae.
Kuna mtu anajua mimi ni mjinga.
Kuna mtu anajua mimi ni mtu mwenye upeo mpana wa kufikiri.
Kuna mtu anajua mimi ni mpole harafu kuna mtu anajua mimi ni bonge la mkorofi.
Kuna mtu anajua mimi ni mcheshi harafu kuna mtu anajua mimi ni bonge la kauzu. [emoji119][emoji2217]
Je, kwa upande wako hapo kuna mtu anajua wewe ni (malizia hapo).
Kuna mtu anajua mimi ni mjinga.
Kuna mtu anajua mimi ni mtu mwenye upeo mpana wa kufikiri.
Kuna mtu anajua mimi ni mpole harafu kuna mtu anajua mimi ni bonge la mkorofi.
Kuna mtu anajua mimi ni mcheshi harafu kuna mtu anajua mimi ni bonge la kauzu. [emoji119][emoji2217]
Je, kwa upande wako hapo kuna mtu anajua wewe ni (malizia hapo).