Kuna mtu anasema Godzilla alikuwa Overrated. Kwa mawe hayo kweli Zizi alikuwa Overrated?

Kuna mtu anasema Godzilla alikuwa Overrated. Kwa mawe hayo kweli Zizi alikuwa Overrated?

Nyanyua mabawa kama lamborgini doors na lakuchumpa kuna ubunifu sana.
 
Overated huyo dogo,katika madogo naona Bora young killer wengine ushibwada tu...nikiweka ngoma za sugu yale hayakua mapenzi,wanakuita sugu...Zilla hata angeishi miaka mia asingetoa ngoma Kama hizo
 
Yes, dude was overrated. Nice on the beat, but the pen was a joke. Ushamba ulipitiliza pia. But anyway, pengine kuna bars wengine hatukuziskia, so mliomuelewa mnaweza kutusanua tuone.
 
Kuna pini alifanya na izzo bizzness pls kama mtu anaijua jina
 
Yes, dude was overrated. Nice on the beat, but the pen was a joke. Ushamba ulipitiliza pia. But anyway, pengine kuna bars wengine hatukuziskia, so mliomuelewa mnaweza kutusanua tuone.
Mashabiki tunataka melody na flow..... muda kusikiliza neno kwa neno them tuchambue na kufikiri hatuna. The kid got flow and melody, from 50 though.... I liked him
 
Mashabiki tunataka melody na flow..... muda kusikiliza neno kwa neno them tuchambue na kufikiri hatuna. The kid got flow and melody, from 50 though.... I liked him

Good for you. He ain't got none of that, coz he ain't here no more though.
 
Back
Top Bottom