SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Sijui mwaya naweza kukupa id yake nanamba muongee mkiridhiana basiSasa kazi inamuhusu nn
Awe amejiajiri au ana sponsor😂😂😂awe anafanya kazi? kama hana kazi je
NdiooSasa amekwambia wewe yaani wewe ndio umtafutie yeye domo zege ama?
Ndio ameniambianSasa amekwambia wewe yaani wewe ndio umtafutie yeye domo zege ama?
Bado hajapata tuNdio ameniambian
Minatafuta aliyeko tayari kuwa na serious relationshipKanitumia hivi
HAbari dada naitwaa f natafuta mke wakuoa awe umri kuanzia 22 mpaka 25 ., awe maji yakunde , mrefu wastani, asiwe mnene wala mwembamba sana .
Awe anaishi dar , awe anafanya kazi
Awe yupo tayari kuwa mke.
Ila asiwe mchaga.
Muhitaji ni mwajiriwa , mkristo
Ni mpenda kanisa . Mrefu , mweupe . Na mpole .
Umri 29
Aliye serious anipm nimpe namba au nimpe ID YAKE .
Mmejitokeza kwani ili niwaungisheBado hajapata tu
Ndugu mie ninamchumba shida anaongea lugha siielewi sijui ni mkenyaNenda ukaolewe wewe! Siuliniambia una miaka 21