kuna mtu anaweza kufanya hivi?

tan 90

Senior Member
Joined
Jul 29, 2012
Posts
182
Reaction score
36
habari wana jf. . . .kuna mtu ameniomba ushauri katika jambo hili,sasa nashndwa kumshauri kwa sababu sijawah kumuona mtu akifanya. . .ni kwamba huyu mtu anataka kusoma degree na diploma kwa wakati mmoja,na mambo yenyewe ni tofauti ambapo degree ni ya information system(udom) na diploma ni ya geology and mineral exploration(chuo cha madini) tena ktk institution tofauti mkoani dodoma. . . . .
Naomba maoni yako tafadhali,asante.
 
kama timetable haziingiliani anaweza
 
Huyo mtu ni wewe,unaweza kufanya hivyo kwanza kutegemeana na uwezo wako wa akili,pili ratiba za hivyo vyuo kutokuingiliana.Jitathimini uamue maana kozi zote zimeshiba.
 
Inawezekana sana tu but ratiba inapaswa kuwa tofauti. Mara nyingi program moja anapaswa kuisoma day (full time) na ile nyingine aisome jioni (evening program) ndo ataweza, ni lazima awe kichwa kweli kweli kwasababu miruzi mingi humpoteza mbwa!!!!
 
Huyo mtu ni wewe,unaweza kufanya hivyo kwanza kutegemeana na uwezo wako wa akili,pili ratiba za hivyo vyuo kutokuingiliana.Jitathimini uamue maana kozi zote zimeshiba.

hapana si mimi mkuu,ni mdogo ake rafiki yangu.
 
Inawezekana, ila kwa nini asiamue kusoma kozi moja?
Dah! tabu zote hizi ni kutokana na ugumu wa ajira ktk nchi yetu...watu wanasoma ili waajiriwe
 
Inawezekana, ila kwa nini asiamue kusoma kozi moja?
Dah! tabu zote hizi ni kutokana na ugumu wa ajira ktk nchi yetu...watu wanasoma ili waajiriwe

ndo hvyo mkuu.
 
Aiseee babaangu unataka kuuwa ndege wawili kwa wakati mmoja mi nawasiwasi unaweza ukawakosa wote

ngoja niendelee kupata mbege
 
Inawezekana ila atataabika vibaya mno, hasa pale mitihani itakapoingiliana. Ushauri, kama ni wa mwaka wa kwanza aombe asome Geology hapo hapo UDOM ipo.
 
Inawezekana ila atataabika vibaya mno, hasa pale mitihani itakapoingiliana. Ushauri, kama ni wa mwaka wa kwanza aombe asome Geology hapo hapo UDOM ipo.

halafu aache diploma au impe urahsi wa kutimiza plan yake ya kufanya dgree na diploma at the same time?
 
KUNA MTU NLISOMA NAE IFM yeye alikua anasoma ful tym Ifm na evening class TIA COZ 2 TOFAUTI PROCUREMENT NA ACCOUNTANCY so inawezekana kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…