LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
- Thread starter
- #21
LD mara tatu?? Huyo mwanamke wa aina gani asokuwa na soni usoni mwake??
Kapata mwanaume mpole lakini aangalie "Ukiona Kobe kainama................................."
Atakuja mfanyia kitu mbaya hakutarajia hivi kwa akili yake kabisa anamuona huyo mwanaume ni mwehu kumsamehe samehe tu
Hapo kuna jambo litampata tena si dogo
Dah, umesema kweli, nahisi ingekuwa mimi ningeondoka kabla sijaambiwa ondoka......
Lakini sasa upendo una nguvu ujue, yawezekana kabisa huyu kaka anampenda mke wake,
na uamuzi wa kumfukuza ni mgumu na mzito kwake. Hajui hata aanzie wapi yani.
Au ndo limbwata lol!!