Kuna mtu kaniuliza hili swali jamani, anataka msaada wa Mawazo yenu. Maji yamemfika shingon

Hamna BAN hapa wala babu yake na ban, unamwadhibu mwanamke ili iweje kwamba ukimuadhibu ndio ataacha??? Lazima ujiulize kwanza sababu za huyo mwanaume kumsamehe huyo mwanamke mara tatu.

Hakuna sababu zaidi ya huruma za kijinga
 

...mnh, Ok...kumbe tayari ana mpango wa kumuacha ila hajui aanzie wapi?
Aanzie hapo hapo bana. Talaka, kisha ampe haki yake vile walivyochuma pamoja.

Nnayo maswali mengi nataka kumuuliza huyo jamaa yako.

  • Huyo jamaa yako anamtosheleza mdada kwa namna zote ukiacha mahitaji ya chakula, nguo, etc.
  • Mdada aliwahi kumfumania jamaa hata mara moja?

...thubutu! unadhani kuna mwanaume atajitia kitanzi kujibu
haya wakati yeye ndiye anashikilia makali ya kisu?
 

Akuwache uendelee tu, kwani hiyo ina maanisha hakutoshelezi. Kama anakutosheleza huwezi kuwashwashwa.
 
aivunje ndoa ya kisheria kisha wajiulize kama bado anamuhitaji wabaki na ndoa ya moyo pekee.

glory to God
 


Hicho ndio kiini cha tatizo.Ajisahihishe kama nampenda mdada. Ukute mwanaume mwenyewe anapiga kazi za nje akirudi home kachoka anashindwa kutoa huduma.Iliwahi kumtokea jamaa yangu mmoja.Yeye ana pesa na humpa mkewe kila kitu anachotaka.Lakini jamaa ni mwingi mno wa habari.Hawezi kuridhisha homeground.Matokeo yake mke akachoka akaamua kupata huduma za extension.Sasa jamaa analalamika nini ikiwa anacheza chini ya kiwango?
 
Hakuna sababu zaidi ya huruma za kijinga

...ili ndoa zidumu, zinahitajika pia huruma ya "kijinga"
It's all about reasoning power kwa wanandoa.
Ndoa sio mchezo wajameni!
 
...ili ndoa zidumu, zinahitajika pia huruma ya "kijinga"
It's all about reasoning power kwa wanandoa.
Ndoa sio mchezo wajameni!

Mbu, wewe kwa mtazamo wako ni hadi ifikie mara ngapi kwa huyo bwana kuchitiwa ndo aamue kutalikiana na mkewe? Au wewe unaona ikija kwenye shauri la ndoa huruma haina kikomo?
 
...ili ndoa zidumu, zinahitajika pia huruma ya "kijinga"
It's all about reasoning power kwa wanandoa.
Ndoa sio mchezo wajameni!


michango ya walio ndani ya ndoa na wasiokuwepo,
utaijua tu,
BTW:tupo pamoja, naendelea kufuatilia mjadala,
nikiwa huku loliondo!
 

Ndugu yangu Mbu,

Una maana ukianzisha biashara (na hiyo ndo kazi yako unayoijua) ikafilisika unajiua? Why not start again?
 

Mbu nahisi, nilikujibu, sehemu fulani hapo juu.
Ila kwa huyu naona style zote mbili anazo.
 
Mbu, wewe kwa mtazamo wako ni hadi ifikie mara ngapi kwa huyo bwana kuchitiwa ndo aamue kutalikiana na mkewe? Au wewe unaona ikija kwenye shauri la ndoa huruma haina kikomo?

Via Mobile, nani alikwambia kwamba,
solution ya matatizo ya ndoa ni kuikimbia, au
kuachana?
je,huko utakapopata mwenza mwingine itakuwa ni peponi,
kiasi ambacho hakutakuwa na magomvi tena?
 

Yeahhh ikibidi amkaribishe hata huyo mwanaume mwenza waishi nae kabisa!!!:smash:
 
Mnataka kwenda wapi aisee!!
Hebu tulieni bwana.
Tunataka njia ya kumwadhibu mwanamke asiye kuwa mtiifu/mwaminifu kwa mume wake,
sio kuwatafutia Desdii na TF BAN bwana wangu!!!

Safi sana LD, naona leo umekaa kikazi zaidi...Lazima order in the house iwepo!!
 

Nashukuru kwa bahati nimepata majibu ya yale maswali dada angu. Haya hapa>

* Alimuoa huyo mwanamke baada ya kufahamiana na ye muda gani? Mwaka 1

* Huyo mwanamama na huyo mkaka wanapishana sana kiumri? Miaka 22
* Huyo jamaa yako anamtosheleza mdada kwa namna zote ukiacha mahitaji ya chakula, nguo, etc. Anamtosheleza vibaya sana hadi binti anachanganyikiwa na kupagawa
* Mdada aliwahi kumfumania jamaa hata mara moja?
Hapana.
 
Via Mobile, nani alikwambia kwamba,
solution ya matatizo ya ndoa ni kuikimbia, au
kuachana?
je,huko utakapopata mwenza mwingine itakuwa ni peponi,
kiasi ambacho hakutakuwa na magomvi tena?

Kwa hiyo solution ya ndoa iliyoghubikwa na uzinzi na uasherati usio na mwisho ni nini?
 
Akuwache uendelee tu, kwani hiyo ina maanisha hakutoshelezi. Kama anakutosheleza huwezi kuwashwashwa.

...another wrong definition kwa wana ndoa.
Ni muhimu kwa wanandoa wawe responsible kwa maamuzi yao.
"hanitoshelezi!" maana yake nini?

Asiyetosheka ni yule mlafi, fisadi wa tamaa zake.
Si haki kumlaumu mtu mwingine sababu ya tamaa za mwili wako.
"Conquer your Demons, thoughts become things!"
 
ngoma ya chumba aijua mlalaji ni ngumu kusema kama upo nje ya uwanja



...ili ndoa zidumu, zinahitajika pia huruma ya "kijinga"
It's all about reasoning power kwa wanandoa.
Ndoa sio mchezo wajameni!
 

Napata hasira utadhani mimi ndo huyo mwanaume!!!Ila sio kila mtu anaeingia kwenye ndoa nakutana na moto....kuna wenye bahati wanakua wanajua watakachopata tangu mwanzo!!!Alafu hapo usishangae kusikia kwamba huyo mwanamke aliwahi kucheat tangu enzi za uchumba au ugelofrendi!!!
 
Ndugu yangu Mbu,

Una maana ukianzisha biashara (na hiyo ndo kazi yako unayoijua) ikafilisika unajiua? Why not start again?

Hapo sasa.....watu wanajipa adhabu wasizostahili!!!Utavumiliaje kisichovumilika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…