Kuna mtu nampenda humu

Afungeke bwana unaeza jikuta waokota dodo chini ya m'buyu maana kwa awamu hii mamno yanahitaji uwe na kabahati bahati ,na kama una bibi si vibaya ukapitia angalau akuchanje chale mbili za utosi ili mradi mambo yaende[emoji1] [emoji1] [emoji1]

cc shunie
 
hahahah na kweli afunguke mtu ajibebee anajitesa bure ya nn kukaa na vitu rohoni kisa cha moyo kutanuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…