Kasema hajaja hapa, sijui atakuwa Leehahahhhh hivi Daby ujue muhusika n ww au atakua leo kaka angu Bonny
Nakuonaa nakuonaaaUsikuze bwana. Shii. JF hawachelewi kusema nimekutum useme hivi.
Mwenye uzi anamjua mwenyewe msukumwa na moyo wake.
Hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] 🙂........rafiki nina data za watu wengi sana hapa JF!!
Ntakupigia nitakupigia ama neneNakuonaa nakuonaaa
Nitakupigia simu isiishe chajiDaby njoo uoneee
Hahahahahahhah nyama choma ujue umenitamanisha mxxiuue
Najua la kufanyahahahhahah ili uje kuandika au
hahahha utani usivuke mpkaKasema hajaja hapa, sijui atakuwa Lee
hahahha haushindwiiiiiHahaha
Hebu nipe ubuyuu
ndio inavyotakiwa mkuuYani mm humu ikitokea tu moyo umependa kabint kokote atanisamehe haipiti siku nimefunguka.
Tena coment ya mwisho niko mlangoni.
Ama VeeepeeNtakupigia nitakupigia ama nene
sio kwa mate yaleHahaha
Nimejua tuu, nimejua kukutoa mateee
tehAma Veeepee
Nipigie nipigie
Hebu aje amtaje bhana, nimekaa hapa mpaka chaji inaishaNitakupigia simu isiishe chaji
Funguka mamaKuna mtu nampenda humu nikiona comment zake moyo unashtuka daah kweli moyo mashine sijui nifanyaje
Hahahahahahha utani usivuke mpka
hivi dada mara anatajwa THebu aje amtaje bhana, nimekaa hapa mpaka chaji inaisha
Ubuyuu ni sheedahahahha haushindwiiiii