Kuna mtu nampenda humu

Upo mumy

Kuadimika hivyo ndo nini nimesubiri mwaliko wa pasaka hadi imeisha

Mzima wewe?
Nipo mpendwa, ni majukumu tu yanatukaba hadi Easter imepita hata sina habari, haki uzee sio mchezo!!
 
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Kuna vituko humu dah!
Sasa umependa picha si coments zake![emoji848]
Kama ni coments tafuta picha yake na saut yake anaweza kuwa wa kawida kabisa baada ya wewe kupata hayo yote.
Kila la heri ila usisahau kutupatia mshindo nyuma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…