Kuna mtu nimemzimikia

Hapana Mkuu namaanisha anayezimikiwa na husna muba ndiye huyo huyo aliyezimikiwa na espy. 🙂🙂
Hapana sie. Yule namzimikia peke yangu.
 
Reactions: BAK
Njoo tu mrembo hata mm kale kamchezo ka kutiana nakapenda so njoo tu hata mm nataka.
 
Umewahi kukutananae live? Fanya mpango umunekwanza usije ukabadili gia angani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…