Labeka mamiiBabu
Chura sio kigezo vyovyote ulivosina chura mm acheni hadithi za usiku
Umeona eeh?huyu kweli mgeniUkonfotabo ningeukosa mimi... najuana na watu sio chini ya 20 humu
HahaaaMoja walai Maxence Melo shahidi
umeona kama espy alivyofanya [emoji23]Sio dhambi ila huku ukishajuana na mtu hauwi tena comfortable labda ubadili id
Yupo anawasalimiaAta simuelewi shem yuko poa?
na hali ya hewa hii nipo kwa bed [emoji23]Kaone kanavyocheka...eeeh ebu niambie mmeishia wapi na Manga.
Leo jpili usiongope
Swali gani tena hilo, kikojoleo chaingia kila tunduHehe
Kwani nikiingiza kwa mwingine hakiingiii [emoji23][emoji23][emoji23]
Teh...Hahaaa
Acha wee!! Mpaka vidole vilikuwa vyagoma kutype
Eeenh naomba na mm nikujue [emoji134]Ukonfotabo ningeukosa mimi... najuana na watu sio chini ya 20 humu
Hujanijibu ujue... tongozo la Manga kwako limeishia wapiumeona kama espy alivyofanya [emoji23]
hahahahhIbada imeenda vyema mpendwa. Tumeagizwa upendo tu tena ule usiowakinafiki
Leo jumapili ujueTeh...
Unasingizia bhna
Fursa hiyoEeenh naomba na mm nikujue [emoji134]
hivi siku ukiniona ukute sina chura utafanyajeChura yupo hapo nyuma yako. .. au hadi nimshike [emoji4][emoji4]
Acha usimalizie kusema na yeye anjua hiloUsikubali kupangwa papuchi ya mwenyewe inaraha yake
Asante, nimelipiza ile uloitikaWatukutu kazini karibu sana
Hakuna shida njoo niliponikuelekezeEeenh naomba na mm nikujue [emoji134]