Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
Mie na wewe tumetoka mbali sana.Hicho kizee kimefikaje hapa?Mimi ..? Au asprini?
Manake mm nimekuandikia pm kibao no response
Kumbe expired?Hao maex zangu wawili sijui wamepotelea wapi, ila kaboom yupo.
Toka lini Rogie akawa ex wako?Hao maex zangu wawili sijui wamepotelea wapi, ila kaboom yupo.
Huyo ndio funga kazi, kiboko ya wote.
Hahahaha... si unajua mtaka cha uvunguni shurti ainame???Sijakucheka swahiba,nimefurahi ulivyopangilia hizo sifa
Mi namuachia Mungu....Mie na wewe tumetoka mbali sana.Hicho kizee kimefikaje hapa?
Kwahiyo nawe ulikubali kabisaaa kushiriki dhambi hiyo? Huu undugu wa mashaka kabisaa. Maana kati ya watu wanaowafahamu michepuko ya babu wewe ni mmoja wapo, na ulitoa vitisho jana babu akanywea.espy usinigombanishe na ndg yangu jana umenipa kazi sana ya kumbembeleza acha aje akutane na mashahiri yake
Aiseee na akija akiona yote haya bado anakupokeaHahahaha... si unajua mtaka cha uvunguni shurti ainame???
Lini mlikuwa pamoja mbona sina hizo habari?We usinichonganishe na mume wangu, tulishaachana na rogie ujue.
We wako ushamtaja?
nafanyaje ndg kapenda hasikii chochote analia lia tu kuhusu babu au babu masaiKwahiyo nawe ulikubali kabisaaa kushiriki dhambi hiyo? Huu undugu wa mashaka kabisaa. Maana kati ya watu wanaowafahamu michepuko ya babu wewe ni mmoja wapo, na ulitoa vitisho jana babu akanywea.
Hata shetani akizeeka anakuwa malaika........Mi namuachia Mungu....
Hata mimi nimesahau.[emoji85] [emoji85] [emoji85]Lini mlikuwa pamoja mbona sina hizo habari?
Ukishayajua hayo, unapiga moyo konde.Hata shetani akizeeka anakuwa malaika........