Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Madhaifu yake hayabadiliki, muulize deby..My kaka we dont hv a voice when our hearts makes choice. Yaani kwa MO11 ndio nimefika, hayo madhaifu yake nimeyakubali hivyo hivyo na kwa kiasi kikubwa amebadilika sana kwahiyo najua na hayo mengine yataisha.
I love him.
Kwakweli, manga atalia huyo!!Hehehe
Sasa anataka tutimuliwe kwenye huu uzi
Warereeee[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Yaani babu ndio role model wako!!
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Nakupenda mume wangu.umeua na kuzika kabisa
Anhaaa!! Kumbe husna ndio alisababisha hiki kibuti ee??[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kaone!! Husnaaaaaaaaaaaa!!!
Sasa tulizo la mauno ndilo lililonifikisha kwa MO11 wangu!! Koma kabisa kumsingizia mume wangu.Madhaifu yake hayabadiliki, muulize deby..
Anakuchora tu ndio maana nammind sana deby na nilishtuka sana nilivyoona leo asubuhi kuwa umemkumbiza deby.
Huyu mtu wako mpya yupo kwenye list ya kigwangwal... Thats why najua kuwa anytime unarudi home.
Hapa nishakuandalia kila kitu utakupata utapata tulizo la mouo binamu.
Naona huko nje wanakuzingua tu
Usijimilikishe kwa mwanaume kirahisi hivyoZNakupenda mume wangu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Warereeee
Husna ndio alomfungulia daby uzi.Anhaaa!! Kumbe husna ndio alisababisha hiki kibuti ee??
Now i got the light.
Hata mie sielewi yaaniSiamini kama hili libabu ndio linakufanya upotee na kunyong'onyea hivyo!!
Hebu muulizeIvi kiinua mgongo cha babu hakijaisha tu... tukuchukue
Ha ha yani ukienda ofisini utakachokikuta usije ukaanza kulia lia.Sasa tulizo la mauno ndilo lililonifikisha kwa MO11 wangu!! Koma kabisa kumsingizia mume wangu.
Napata ninachokitaka, yaani zaidi na zaidi. Tena usinikumbushe nisijemfuata ofisini sasa jivi maana jioni naona mbali.
Mie nahisi ni limbwata dadanguNani alikuambia kwa vibabu unawekeza moyo?
AsanteBasi pole sana.
hilo najua ndio wimbo mzuri naoupenda ukiuimba na unauimba vizuriNakupenda mume wangu.
Ha ha .Husna ndio alomfungulia daby uzi.
Nakutaka wwkakuzimikia huyooo
😉😉
Manga nae simuelewagi, uzi wake lakini yupo ka hayupoKwakweli, manga atalia huyo!!
Kuna nini hapa mkuu???