Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
- Thread starter
-
- #5,621
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waambie hatuachani hata kama hatuna vyeti vya kuzaliwa.
Wewe jamaa yule mganga wako namjua naenda kumwambia atengue tunguli moja.. Haiwezekani shunnie anaona upo na husna ila anakutole macho kiasi hiki.. Roho inamtokaaaa wakati sie wengine tupo single ila anatuzungusha[emoji4][emoji4][emoji4] love you too mamy.
Cc Shunie
nan asiyependwa kwaniHahahaha
Ujue kupenda unapopendwa raha eeeh.
aiseee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umeona ee....
Watuache miaka miaaaaa....
To me You're such perfect treasure mamy than birth certificate [emoji7][emoji7][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umeona ee....
Watuache miaka miaaaaa....
mm wala hanitolei macho nikimtaka ata sekunde haichukui namuheshimu husna tuWewe jamaa yule mganga wako namjua naenda kumwambia atengue tunguli moja.. Haiwezekani shunnie anaona upo na husna ila anakutole macho kiasi hiki.. Roho inamtokaaaa wakati sie wengine tupo single ila anatuzungusha
Hatujagombana banaakweli mapenzi yana nguvu mnaweza gombanishwa hivi hivi mnaona
sakayo wangu tu ndio namwamini hatuwezi gombanashwa sbbu ya mapenzi
Shunie huwezi mtongoza kama mwanaisha yule ulimchukulia tabata then ukampata.Wewe jamaa yule mganga wako namjua naenda kumwambia atengue tunguli moja.. Haiwezekani shunnie anaona upo na husna ila anakutole macho kiasi hiki.. Roho inamtokaaaa wakati sie wengine tupo single ila anatuzungusha
he heHatujagombana banaa
Nakujulisha tu haha....nan asiyependwa kwani
KhaaaaTo me You're such perfect treasure mamy than birth certificate [emoji7][emoji7]
haahhahahShunie huwezi mtongoza kama mwanaisha yule ulimchukulia tabata then ukampata.
Haha
Mama emonji karibu sana[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Wewe ebu acha nifie juu ya haba zito la mtoto wa kitanga.mm wala hanitolei macho nikimtaka ata sekunde haichukui namuheshimu husna tu
mm na baby wangu mapenzi yetu pm haya mambo ya show off siku mkiachana aibuuu [emoji23]Nakujulisha tu haha....
Hahahahaha
Manga miss u jamaan mbona unapotea hivMama emonji karibu sana
Hahaha jf raha saanaKhaaaa
NJOOOO TU IN BOX TUYAMALIZE NIME KUSOMAHabari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika
Huku
Nifanye ñn?
asisahau kukuwekea iriki na mdalasini kwenye maji ili unukie pilau kabisaWewe ebu acha nifie juu ya haba zito la mtoto wa kitanga.
Hapa nakandwa kifuani kama chapati putuo [emoji23][emoji23]