Kuna mtu nimemzimikia

[emoji16][emoji16][emoji4][emoji4][emoji4]na kweli usinitake tu maana kwake sibanduki nimekufa nimeoza nyanganyanga
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106]
Nimepata nimepata waaangu fuundiii
Anipima Anipima bila hofuuu
[emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji441] anipima kiufundi upana hata urefu
..........[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji444] [emoji442]
 
Huuhuuuu
Yanajuana Madini yakikutana
Mwanamke atanyima tuzo na ndio kitu nachofanya
Wee utasema mii kichaa kumbe mwenzako nafwata what I feel inside [emoji445][emoji445][emoji445][emoji444][emoji444]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…