Kuna mtu nimemzimikia

Ebu muache bana, naona anaweza kunizimikia mimi hapa.
Nyota yangu nayo imekaa tenge kama muhimili wa Dunia[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ebu badili avatar kwanza usikute hiyo ndio tatizo ujue ndio mana huzimikiwi
 
Leo silali kwa ajili yake... Nataka tutafute wakwe wanaoeleweka kama wako
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
We sema tu unataka mahari, yaani unataka kuniozesha tena!!
 
Ukitaka kuwa bondia usiogope ngumi za uso....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…