Kuna mtu nimemzimikia

Kuna mtu nimemzimikia

Usimwambie utajidhalilisha mtoto wa watu kutongoza wanaume,,,wanaume tukitongozwa hatuachi na kukupiga mizinga,,,halaf kwa vile atakua labda hakupendi anakuomba 0655 ukimpa anakugegeda then anakutupa km kipis cha sigara baadae anakuja huku jf anaanza kupaka wanawake wa jf hwana lolotee... So kwa heshima ya wadada wenzako na heshima ya jf usimwambie... Uchune mpka ajishtukie mwenyewe... Sisi wanaume tunawatesa sana wanaotupenda na tunajitesa kwa wasiotupenda...
Ushauri mzuri sana[emoji106]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Huoni anavyozengea zengea humu, ukute ni yeye.
Ila bora awe yeye ili niwe na amani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ni sheeda kweli, wallah nikikufikiria moyo unadunda ti ti ti kwa mashamsham yako.
hahahahh fakalava hivi tu hujui nafananaje shauri yako we ushaunda mtu anaefanana na shunie ukija kumuona tofauti sijui utakimbia [emoji23] uje kunianzishia thread
 
Back
Top Bottom