Kuna mtu nimemzimikia

Tena baada sana after ku confirm
Kama papuch imejaaa skar
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jiulize Kwann wehu wanazaa? Tena wanaowapa mimba ni watu Wazima wenye akili TIMAMU.

Nyoka huwa hachagui shimo lakuingia.
Kamwe Nyoka haingii shimo lenye Siafu......sometimes Nyoka ana akili kuliko Mwanadamu (ME)!
 
= nilifikiria

Mwambie muoane ID yako inaonesha u Muislam.
Samahani mama,mbona huyu hukumuuliza kama “huko shule mlienda kusomea ujinga?"...ushauri wako mzuri but vipi kama huyo aliempenda sio muislam...afanyeje?
 
mbali na mimi kuna mwengine maana umeandika kutoka moyoni
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kwakweli hilo limetoka moyoni kabisaaaaaaa[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Kuna siku ulisema umeolewa leo umemzimikia mtu au una jinsia mbili nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…