Kuna mtu nimemzimikia

Kuna mtu nimemzimikia

Nani anazengea [emoji23][emoji23].

Kwa Kujifanya haunitaki kumbe karoho kanatokwa na udendaa. Wee njoo bhn milango ipo wazi
Oooh my God oooh!!!!
Hii ni abomination mdogo wangu[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Habari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika
Huku
Nifanye ñn?
usijisikie kupendwa angalia na anaekupenda nadhani kama ungeweka napicha yako hapa wengine tungekua tayali hatuitaji hata jibu la kutajwa kupendwa
 
Habari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika
Huku
Nifanye ñn?
nilikuambia usisite kuja PM
 
Fanya ivi kwa kila atakacho andika atakama mda mwingine ni pumba,ama maharagwe we gonna likesss za kutosha,na usi ishie hapo we msifie tuu tuu,ata blo mwenyewe lazima akufuate in bo bo....
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji106]
 
Back
Top Bottom