Kuna mtu nimemzimikia

Kuna mtu nimemzimikia

[emoji33] [emoji33] [emoji33] [emoji33] [emoji33]
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nakufaham sana dada binamu huyu jamaa mpya hutamuweza .
Tabia zake zipo wazi siku ukipata muda uniambie nitazimwaga zote..
Kwa style ya mange
 
Nakufaham sana dada binamu huyu jamaa mpya hutamuweza .
Tabia zake zipo wazi siku ukipata muda uniambie nitazimwaga zote..
Kwa style ya mange
My kaka we dont hv a voice when our hearts makes choice. Yaani kwa MO11 ndio nimefika, hayo madhaifu yake nimeyakubali hivyo hivyo na kwa kiasi kikubwa amebadilika sana kwahiyo najua na hayo mengine yataisha.

I love him.
 
My kaka we dont hv a voice when our hearts makes choice. Yaani kwa MO11 ndio nimefika, hayo madhaifu yake nimeyakubali hivyo hivyo na kwa kiasi kikubwa amebadilika sana kwahiyo najua na hayo mengine yataisha.

I love him.
umeua na kuzika kabisa
 
Back
Top Bottom