Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
- Thread starter
- #6,521
Duuu mi nilishasahau km niliwahi kutoaga Uzi km huuKaliona wapi mii nlikua nalitafuta kitambo tu nijikumbushe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu mi nilishasahau km niliwahi kutoaga Uzi km huuKaliona wapi mii nlikua nalitafuta kitambo tu nijikumbushe
Huwezi kumbuka mana ulishatuachiaDuuu mi nilishasahau km niliwahi kutoaga Uzi km huu
Ntakutafuta twende kule mahala basiMbona nipo mie nimejificha makapuku
kwakwelMadogo yana wenyewe
Huyu ndo unayemzima nini na wewe mwenzangu [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We nifate tuHabari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika
Huku
Nifanye ñn?
we ngoja tuPenda saasa
Mwambie acha uoga sema nayeWe nifate tu
we ngoja tu
hahahahahaaaa endelea kuogopa tu kunakitu utakigunduaHabari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika
Huku
Nifanye ñn?