Wait and watch. Kwan we unafikiri nn? Mshatuchosha na stor za tcu. Yan dizain kama hamjiamini vile!
Ufaulu hafifu mkuu watu wana wasiwasi wanaweza wakaachwa si unajua waliofaulu wapo JKT.
Ufaulu hafifu mkuu watu wana wasiwasi wanaweza wakaachwa si unajua waliofaulu wapo JKT.
kumbe ndo maana unasomaa Baed, chuo cha kataa! Ufaulu na uelewa wako umeishia hapooo!! Overrr
Nina wasiwasi na mawazo yako ya kusema, waliofaulu wapo jkt .. Nahisi hujui ka kuna watu walioenda Jkt Batch ya kwanza na kurudi na wengi wao wamefaulu sana as hata Selection za Shule zilizopeleka Jkt Batch ya kwanza, walichagua shule ambazo zilikuwa na historia ya Good perfomance
Wait and watch. Kwan we unafikiri nn? Mshatuchosha na stor za tcu. Yan dizain kama hamjiamini vile!
huyu molembe hafai,,maana ndo comment zake za kukejeli
madogo wa siku hiziii vilaza kweliii... wao kama wanajua wamefauliii kihereheru... cha kutujaziaa jukwaa kimetokea wapiii....
Halafu wakiambiwa ukweli wanakuwa wakaliii.
madogo wa siku hiziii vilaza kweliii... wao kama wanajua wamefauliii kihereheru... cha kutujaziaa jukwaa kimetokea wapiii....
Halafu wakiambiwa ukweli wanakuwa wakaliii.
ukweli gan ww uliyepata dv3 17 ukaenda lichuo la kata kusoma ualimuu! Ungekuwa na akili c ungecoma vyuo vya maanaa! wewe ni kilazaaaaa tuuu
Huwa sipendi kubishana na watoto wadogo kama wewe nina watu saizi yangu humu.