talentbrain
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,187
- 760
Najaribu kutulia na kutafakari kwa kina lakini ckuelewi kabisa
Mi nimemuelewa anasema alicheki kwa air tell akaona kachaguliwa MT meru, lilipotoka tangazo la waliokosa kuapply tena akaaplly na tcu wamekubali tena maombi yake.
haya maganja 😛
oho unalog in na browser gani?tumia mozila ,ila kwa siku hizi tatu website yao haipatikani.haina shida kama ufaulu wako mzuri chuo umepata na uliwekewa yes kwenye met minimum requirement
Now ipo sawasawa
Cas haifunguki acha uongo
hapo sawa, nawashangaa sana wanaosema inafunguka, tumia funguo zote ila CAS Haifunguki hakuna cha MOZILA, INTERNENT EXPLORER, OPERA, zingine ongezea na wewe