Kuna mtu yeyote ameshatumia Payoneer Master Card?

Mimi nime order mwezi Jana ndo nasikilizia wanitumie
Lakin kuna mtu mmoja alisema kuwa kwa tz huu mfumo wa payooner haukubaliki hapo kuna ukweli?
 
Pole mkuu, badala ya kujibiwa swali lako umejikuta wewe ndio ukijibu. Hii ndio bongo,
 
Mimi ninayo ila sijawahi kuitumia.
 
Nimetoka kuipokea Mastercard yangu juzi so sina uzoefu wa kuitumia
 
Mimi nime order mwezi Jana ndo nasikilizia wanitumie
Lakin kuna mtu mmoja alisema kuwa kwa tz huu mfumo wa payooner haukubaliki hapo kuna ukweli?
Sio kweli, PayPal ndo ambayo haitambuliki, Payoneer unaweza kuitumia Worldwide coz huitaji kui activate kadi yako Bank, Ili mradi ATM utayotumia iwe Ina support Master Cards!
 
Vp Mkuu umeshaanza kutumia hii kadi hususani kutolea pesa?! Kama ndiyo, gharama zake zipo vp ukilinganisha na wire transfer?! Nataka kupumzika wire transfter manake maumivu ni makubwa mno... zaidi ya Sh. 70,000 ya Tanzania! Kuna wakati nilijifanya kuikwepa wire transfer nikatumia Skrill kufanya transfer, nikajikuta nimetumia $2 zaidi ya wire transfer!! Nikagundua kumbe wakati wanajifanya international money transfer; wao wanatumia third part (bank) ambazo huchaji $30; na wao wenyewe (Skrill) wanachukua $2; zikifika Tz, bank nao wanachukua chao!
 
I see! Naona hii bidhaa haitumiki humu!! Na kama haitumiki na JF Community sijui itatumiwa na community gani nchi hii! Anyway, let me take risk... but calculated one!
 
Sio kweli, PayPal ndo ambayo haitambuliki, Payoneer unaweza kuitumia Worldwide coz huitaji kui activate kadi yako Bank, Ili mradi ATM utayotumia iwe Ina support Master Cards!
Mkuu, Habari yako mkuu, tafadhari naomba unifahamishe ni namana gani ninaweza pokea card yangu ya payoneer maana sijawahi pokea mzigo kutoka nje ya nchi, nimeona kwamba wewe ulisha pokea card hiyo, so please naomab unisaidie mawazo mkuu,
0658129251
IDD ALLY
 
M Mkuu tembelea official website yao, jisajiri then uta apply Card yako, utaweka details zako ikiwemo Box number, so Wao watakutumia kupitia Posta, ndani ya mwezi mmoja Card yako inakua tayari!
 
Mkuu nategemea kuitumia hii huduma next week katikati, ntaleta mrejesho hapa!
 
Nimetoka kuipokea Mastercard yangu juzi so sina uzoefu wa kuitumia
Tembelea official website Yao, ukai activate then itakua tayari kwa matumizi.
 
I see! Naona hii bidhaa haitumiki humu!! Na kama haitumiki na JF Community sijui itatumiwa na community gani nchi hii! Anyway, let me take risk... but calculated one!
worry out mkuu, next week ntaleta mrejesho hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…