Poa poa... kwa sasa ningekuwa nimeshapata jibu sema ndo hivyo tena, linapokuja suala la customer care, Payoneer ni tatizo! Siku nilipotaka kutumia kuna tatizo likajitokeza basi walichukua wiki mbili kutatua! Sikuwa na namna, nikalazimika kutumia wire transfer as usual.worry out mkuu, next week ntaleta mrejesho hapa!
Sure, nimekutana Na malalamiko mengi ya wadau fb page Yao..Poa poa... kwa sasa ningekuwa nimeshapata jibu sema ndo hivyo tena, linapokuja suala la customer care, Payoneer ni tatizo! Siku nilipotaka kutumia kuna tatizo likajitokeza basi walichukua wiki mbili kutatua! Sikuwa na namna, nikalazimika kutumia wire transfer as usual.
Tena dk 10 tu kujaza fomu na kupata kadi. Baada ya saa 1 uko activated online. Easy.Kwa nini msitumie BankABC wa hapahapa bongo.? Mbona wana hizo huduma zote mnazozisema.?
asante kwa ufafanuzi mkuu. ila, upunguze KUCHA hizo.Wiki 3 Tu mkuu! Waliniambia baada ya wiki 3 mpaka mwezi 1 niende kucheki Na Kweli nlivyoenda nikaikuta..View attachment 334534
Wakuu toeni maelezo ya kutosha, mfano ghrama za akaunti au ni kwa wateja wao wote?Kwa nini msitumie BankABC wa hapahapa bongo.? Mbona wana hizo huduma zote mnazozisema.?
Tena dk 10 tu kujaza fomu na kupata kadi. Baada ya saa 1 uko activated online. Easy.
Jamaa efficiency yao ya customer care ni below 20% ndo vile hatuna best alternative. PayPal hapa ndo suluhisho lakini restriction yao ya ku-receive fund sijui watatuondelea lini!Sure, nimekutana Na malalamiko mengi ya wadau fb page Yao..
Kwa nini msitumie BankABC wa hapahapa bongo.? Mbona wana hizo huduma zote mnazozisema.?
Nadhani mtakuwa mnazungumzia urahisi wa kupata Visa Card na basic use ya hiyo card kama vile ku-facilitate online transactions.Kwa nini msitumie BankABC wa hapahapa bongo.? Mbona wana hizo huduma zote mnazozisema.?
BancABC wanatoa Visa card hata kama hauna akauntiWakuu toeni maelezo ya kutosha, mfano ghrama za akaunti au ni kwa wateja wao wote?
Nadhani mtakuwa mnazungumzia urahisi wa kupata Visa Card na basic use ya hiyo card kama vile ku-facilitate online transactions.
Hapa tunazungumzia card ambayo sio tu itakuwezesha kufanya malipo bali ambayo pia unaweza kuitumia kupokea malipo/pesa kutoka nje.
Wakuu toeni maelezo ya kutosha, mfano ghrama za akaunti au ni kwa wateja wao wote?
Asante mkuu, umesaidia kitengo chao cha Marketing nitakwenda kuwaona.Kwa BankABC Kadi inauzwa 15,000 kama unataka ya Tsh, Na USD 20 kama unataka ya USD, Baada ya hapo hakuna malipo mengine ya ziada wala transfer fees. Unaenda na kitambulisho valid, Ndani ya nusu saa unakuwa na kadi yako mkononi na unaweza kufanya transactions from there onwards. Kwa Dar Es Salaam wana matawi mawili niyafahamuyo, Kariakoo-Fire na Uhuru height Posta.
Wana tawi pia Quality plazaKwa BankABC Kadi inauzwa 15,000 kama unataka ya Tsh, Na USD 20 kama unataka ya USD, Baada ya hapo hakuna malipo mengine ya ziada wala transfer fees. Unaenda na kitambulisho valid, Ndani ya nusu saa unakuwa na kadi yako mkononi na unaweza kufanya transactions from there onwards. Kwa Dar Es Salaam wana matawi mawili niyafahamuyo, Kariakoo-Fire na Uhuru height Posta.
Quality Center mkuuWana tawi pia Quality plaza
Gharama ya kujisajiri hadi kutumiwa kadi utalipaje? sio kwamba kuna bank inafanya nao kazi hiyo bongo?M
Mkuu tembelea official website yao, jisajiri then uta apply Card yako, utaweka details zako ikiwemo Box number, so Wao watakutumia kupitia Posta, ndani ya mwezi mmoja Card yako inakua tayari!
Mimi nishawahi kupokelea malipo na hii kadi. Na pia ndo kadi ninayoitumia kufanyia malipo online.
Habari wakuu! Mimi Ni mmoja Kati ya watu wanaouza kazi zangu Ulaya, Australia Na America online, naumizwa Sana Na kutotambulika kwa PayPal hapa Tanzania, inapelekea Mara nyingi kutumia Western Union ambayo Ina makato makubwa kupelekea Clients kulalamika, sasa pita yangu mitandaoni nikakutana Na Payoneer, nika apply Na Jana nimepata Card yangu ya Payoneer toka America, ambapo itaniwezesha Kutoa pesa kwenye ATM yoyote inayo accept Master Card Worldwide bila hata kuwa Na Account ya Bank, naomba kujua Kama Kuna mtu hapa ashawahi tumia Payoneer? Ili anipe uzoefu wake!
Mkuu comment yako hapo juu umesema "Mimi nishawahi kupokelea malipo na hii kadi. Na pia ndo kadi ninayoitumia kufanyia malipo online"Mfano nikitaka kulipa ama kununua kitu, Naje pesa katika hii kadi.?
Mkuu comment yako hapo juu umesema "Mimi nishawahi kupokelea malipo na hii kadi. Na pia ndo kadi ninayoitumia kufanyia malipo online"
Na sasa unauliza tena! Nini hasa unataka kufahamu?
Payoneer Card ni tofauti na hizo za Bank ambazo wadau wamechangia hapo juu, ni kwamba mtu anaweza kukuingizia pesa kwenye account yako ya Payoneer then unaweza kui withdraw kupitia ATM zinazo accept Master card worldwide.Mimi sijasema kama nimewahi kupokea kupitia payoneer, Ambayo nimewahi kupokea nayo ni ya BankABC na nimetoa maelezo hapo juu. Nilichouliza hapo ni kuhusu kupokea malipo kupitia payoneer. Unaijazaje pesa hiyo kadi.?