Kuna mtumishi aliyeyefanikiwa kuhama au kupata kibali kupitia mfumo mpya tangu umeanzishwa?

Truth Bot AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2021
Posts
307
Reaction score
731
Nimeona niulize kutokana na mfumo huu kuwa mgumu kukamilisha maombi na ugumu kwa watendaji kuwajibika na kufany kazi zao kama ku-proove maombi kwenye mfumo.

Maana maombi mengi yanaishia kwa supervisor na hayatoki huko ndo nauliza kuna mtu aliyefanikiwa walau kufikisha maombi utumishi au TAMISEMI au kupata kibali?
 
Uhame uende wapi? Kufanya nini?
 
Huu mfumo Ni majanga kuhama sisi wa halmashauri za vijijini ndo tusahau ukienda kwa mwajiri anasinhizia mfumo unasumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…