Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 530
- 1,446
au sio?unawahi kusitisha muamala hata akienda kutoa hautoki usimpigie simu
Ujuri mitandao inauliza jina linatoka nani?Weukishusha ni Uzembe wako!"Mtu akapigiwa simu, samahani kuna muamala umetumwa kimakosa kwako, tunaomba uurudishe.
Akajibu poleni sana, kwakweli hii ni bahati yangu, siwezi kurudisha π
Na ni mwanamke"
Kwa sasa ukikosea muamala jiandae kisaikorojia, watu hawana muda na hawaogopi chochote, hii nchi imechangamka kwa sasa. π€£π
Je kama imetolewa hapo hapo ndani ya dk 0?Kwanini asiurudishe muamala si kuna option hiyo
Ova
Nao wanawahi kwenda kutoaunawahi kusitisha muamala hata akienda kutoa hautoki usimpigie simu
Wananunua vocha ya 500 salio linakua limepungua kile kiwango ulichotuma, uwezekano wa kurudishwa unakua mdogo sana πNao wanawahi kwenda kutoa
π€£π€£π€£π€£Kumbeπ₯΄Wananunua vocha ya 500 salio linakua limepungua kile kiwango ulichotuma, uwezekano wa kurudishwa unakua mdogo sana π
Naam. Au unakuta anadaiwa Songesha inajikata juu kwa juu. Atarudisha nini?Wananunua vocha ya 500 salio linakua limepungua kile kiwango ulichotuma, uwezekano wa kurudishwa unakua mdogo sana π
Kama ulikua na SONGESHA ujue umemsaidia kulipa deni na huwezi kuirudisha cause inakua imekatwa ju kwa juSiku nyingine piga simu Huduma Kwa Wateja upewe msaada..
Pia Mitandao mingi siku hizi Ina Huduma ya Kusitisha Muamala iwapo umekosea..
Hii ndo changamoto kubwa iliyopo.Naam. Au unakuta anadaiwa Songesha inajikata juu kwa juu. Atarudisha nini?
Hata makampuni ya simu yanazuia aliyetumiwa kurudisha bali aliyetuma atumie feature ya kurudisa maana watuw amekuwa wakitumia hii ya kurudisha kuwatapeli watu."Mtu akapigiwa simu, samahani kuna muamala umetumwa kimakosa kwako, tunaomba uurudishe.
Akajibu poleni sana, kwakweli hii ni bahati yangu, siwezi kurudisha π
Na ni mwanamke"
Kwa sasa ukikosea muamala jiandae kisaikorojia, watu hawana muda na hawaogopi chochote, hii nchi imechangamka kwa sasa. π€£π
Mtafute mumle Yass"Mtu akapigiwa simu, samahani kuna muamala umetumwa kimakosa kwako, tunaomba uurudishe.
Akajibu poleni sana, kwakweli hii ni bahati yangu, siwezi kurudisha π
Na ni mwanamke"
Kwa sasa ukikosea muamala jiandae kisaikorojia, watu hawana muda na hawaogopi chochote, hii nchi imechangamka kwa sasa. π€£π