Kuna muda huwa nashindwa kabisa 'Kuwaelewa' Dada zetu ( Wanawake ) hasa wa Kitanzania ( Kiswahili )

Kuna muda huwa nashindwa kabisa 'Kuwaelewa' Dada zetu ( Wanawake ) hasa wa Kitanzania ( Kiswahili )

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kila ukikutana nao utawasikia wakiisema hii Kauli yao wanayoipenda kuwa Wanaume wote ni Waongo ( Matapeli ) na kwamba Baba yao ni Mmoja.

Kinachonishangaza sasa pamoja na Kuisema Kauli hiyo lakini Wakiendelea tena 'Kutongozwa' na Wanaume hao hao Matapeli ( Waongo ) bado tena huwa wanawakubalia na 'Kumegwa' nao Kisela.

Je, tatizo Kubwa la Dada zetu ni nini?
 
Kila ukikutana nao utawasikia wakiisema hii Kauli yao wanayoipenda kuwa Wanaume wote ni Waongo ( Matapeli ) na kwamba Baba yao ni Mmoja.

Kinachonishangaza sasa pamoja na Kuisema Kauli hiyo lakini Wakiendelea tena 'Kutongozwa' na Wanaume hao hao Matapeli ( Waongo ) bado tena huwa wanawakubalia na 'Kumegwa' nao Kisela.

Je, tatizo Kubwa la Dada zetu ni nini?
Mbona hii hoja yako kwa mwanaume ni marashi kabisa jamani

Kumbuka mwanamke akiwa anaongea hukandia akipendacho na husifia asichopenda ukiwa na mwanamke akaanza kumkandia mwanaume jua anampenda sana hataki wengine wamuweke ndani. Ndiyo maana wanawake wachache sana huwasifu waume zao zaidi ya hapo huwaponda sana lkn utawaona wametangulizana nao .

Ukiwa na akili ndogo kumfahamu mwanamke ni ngumu sana
 
Kila ukikutana nao utawasikia wakiisema hii Kauli yao wanayoipenda kuwa Wanaume wote ni Waongo ( Matapeli ) na kwamba Baba yao ni Mmoja.

Kinachonishangaza sasa pamoja na Kuisema Kauli hiyo lakini Wakiendelea tena 'Kutongozwa' na Wanaume hao hao Matapeli ( Waongo ) bado tena huwa wanawakubalia na 'Kumegwa' nao Kisela.

Je, tatizo Kubwa la Dada zetu ni nini?
Wanaume tuna mwengi ya kuwaza hili suala la kuambiwa waongo mara matapeli mara mbwa wala lisikutoe kwenye Reli

Wewe sistiza unachotaka kwake mpaka ukipate kisha chukua time

Ukitaka kufeli jifanye Mwanasaikolojia kutaka kuwaelewa wanawake, Hautaamini utakachokiona.
 
Njaa mbaya Sana

Atanyoosha mikono juu, ata Kama alikua shujaa
 
Kila ukikutana nao utawasikia wakiisema hii Kauli yao wanayoipenda kuwa Wanaume wote ni Waongo ( Matapeli ) na kwamba Baba yao ni Mmoja.

Kinachonishangaza sasa pamoja na Kuisema Kauli hiyo lakini Wakiendelea tena 'Kutongozwa' na Wanaume hao hao Matapeli ( Waongo ) bado tena huwa wanawakubalia na 'Kumegwa' nao Kisela.

Je, tatizo Kubwa la Dada zetu ni nini?
Sasa nyege zao watazipeleka wapi mkuu????
 
Back
Top Bottom