Kuna muda ni bora kuweka Airplane mode kuepuka mizinga

Kuna muda ni bora kuweka Airplane mode kuepuka mizinga

ukiweka kindege kwa cm yako kuna baadhi ya vitu huwez kufanya kama
-kupiga na kupata cm
-kutuma na kapata sms
-kuperuzi mitandao kwa internet
badala ya kuweka kindege piga "code"tu yaan hawataweza kukupigia wala kuku text ila wew utampigia na kumtext unaemtaka kwisha😂😂😂😂
 
ukiweka kindege kwa cm yako kuna baadhi ya vitu huwez kufanya kama
-kupiga na kupata cm
-kutuma na kapata sms
-kuperuzi mitandao kwa internet
badala ya kuweka kindege piga "code"tu yaan hawataweza kukupigia wala kuku text ila wew utampigia na kumtext unaemtaka kwisha
 
Kuna muda ukipata hela wenzako unaofanyanao kazi kama wanajua umepata hela ni bora kuweka Airplane mode kuepuka Mizinga [emoji2] , simu zitaingia Kama zote , utasikia Mkuu mbona kimya unaniachaje
Sasa utaiweka milele mkuu...
 
mkuu vipi sasa kibunda iko ni save ata wa tano aisee
 
ukiweka kindege kwa cm yako kuna baadhi ya vitu huwez kufanya kama
-kupiga na kupata cm
-kutuma na kapata sms
-kuperuzi mitandao kwa internet
badala ya kuweka kindege piga "code"tu yaan hawataweza kukupigia wala kuku text ila wew utampigia na kumtext unaemtaka kwisha😂😂😂😂
Plz nielekeze hiyo code wanawekaje
 
Back
Top Bottom