Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi mzee, chungu cha ngapi leo? Mbona bado mapema, tutamaliza kweli?Hii clip ni fikirishi sana, Mufti alipewa amri kutoka Juu atangagaze muandamo wa mwezi ambao haupo.
View attachment 2945111
BAKWATA ni sehemu ya kupiga pesa tu na kudhoofisha uislamu.Hii clip ni fikirishi sana, Mufti alipewa amri kutoka Juu atangagaze muandamo wa mwezi ambao haupo.
Juu kabisa niwapi? Mbona mambo yakusikitisha haya? Nani aliyeshurutisha huko juu?
Hakika huo ni msiba
Kwani wewe ukifunga kwa kufuata saudi arabia utakuwa umepungukiwa nini? Punguza jazaba bakwata hata kama ina mapungufu yake hayatatuliwi kwa kutukana watu wala kwa jazbaHii clip ni fikirishi sana, Mufti alipewa amri kutoka Juu atangagaze muandamo wa mwezi ambao haupo.
View attachment 2945111
Kwani wewe ukifunga kwa kufuata saudi arabia utakuwa umepungukiwa nini? Punguza jazaba bakwata hata kama ina mapungufu yake hayatatuliwi kwa kutukana watu wala kwa jazba
Innalillah! Huu ni msiba! Msiba mkubwa!Hii clip ni fikirishi sana, Mufti alipewa amri kutoka Juu atangagaze muandamo wa mwezi ambao haupo.
View attachment 2945111
BAKWATA ni sehemu ya kupiga pesa tu na kudhoofisha uislamu.
Watu wanakaa wanataka waheshimiwa wanashindwa hata kufanya mambo yanayoeleweka katika jamii ya kiislamu.
Taasisi maendeleo yake makubwa ni kufanya MAULIDI Kila mwaka na kubuni keki kubwa
Sasa hayo ndiyo wanayoyahitaji waislamu?
Kwahiyo sisi tunaofuata mwandamo wa mwezi katika nchi ni wendawazimu? Au sijakuelewa ulichomaanisha!