Kuna Muislamu anaendelea kuwafata Bakwata kwa chochote?

Kuna Muislamu anaendelea kuwafata Bakwata kwa chochote?

Hao ni wahuni na yyte anaewafuata ni kwa sababu hawajui au au mekataa kuwajua!
 
Kumbe ndio maana swaumu kali sana? CCM jinamizi, Bakwata mali yao, KKKT mali yao. Imeshindwa kwa KATOLIKI tu, lakini hivi vidhehebu vya Kiinjilist na Mitume feki mali yao.
 
Back
Top Bottom