Kuna muunganiko gani wa kijasusi kati ya Serikali na Kanisa Katoliki?

Kuna muunganiko gani wa kijasusi kati ya Serikali na Kanisa Katoliki?

middle east muongo hana sauti Obama itakuwa papa papa hana sauti dunian kote ila n kwaabadhi ya nchi e.g saudia Iraq Yemen Qatar na zngne km Sudan papa atawambia nn pia papa hawez kuipangia Tz jinsi ya kuish nyerere alkkuwa amejarbu kulitia kanisa ndani ya chama na kuwapa pesaza walipa kodi lkn watu now wamesoma sio wajinga kupiga kelele mengi yamepungua ndomana znz wanasema na bara pia kirefu.cha CCM n Catholic Church Movement..... lkn me nakataa n nyerere tu kulingiza kanisa ila kumbukeni uhuru wa nchi hii haukupiganiwa na nyerere wala wakristo Bali waislam na nyerere aliitwa tu na baadae kuwauwa wengne na kuwaweka vizuizini lkn na yeye
kashaonja mauti ladha yake
You dont know what you are talking about...google this:
1.How Roman Catholic created Islam and why they did so.
2.Black pope.
3.The jesuits and Islam
4.Who control the world?
5.The new world order.
 
Ndugu yangu Time Bandit nakubaliana na wewe lakini hilo la namba moja ni propaganda ndani ya propaganda, si kweli kuwa uislam umeundwa na Catholic.
 
Last edited by a moderator:
Chanzo cha uislamu n ukristo
Chanzo cha biblia n Quran
Kanisa katoliki halina uhusiano wa kijasusi na serikali
Liko makini Kwa kuliendeleza kanisa ndani ya kanisa na nje ya kanisa
Lina umoja na muungano wa kindugu na upendo na tena wa kiibada ambao hujenga nafasi ya kukubalika ndani ya jamii
 
Waislamu na wakristu wengine wameparaganyika kutokana utofaut wa makanisa au misikiti au kufuata mitazamo ya watu na sio mungu
Kanisa katoliki liko tofaut sana na wengine kwan wamewekeza kwenye elimu kwani imesomesha mapadri wake vizur kabisa na wengine wamesoma dini mbalimbali wengine elim juu ya uislamu na Quran
Hivyo wakofit kulifanya kanisa kupambana na changamoto na kulikuza kanisa pia kuwa kishawishi ndani ya serikali ili kutetea maslahi yao na kujenga nchi inayojali misingi na mafundidho ya kanisa
Tanzania ni secular country ambayo inategemea ushawishi pande zote
 
Wanatafuta taarifa za serikali hata za siri ili kanisa lisihujumiwe na sera au sheria za nchi au maongez na mikakati ya srir ya viongoz ambayo haina maslahi Kwa kanisa
Halitaacha kutafuta taarifa za serikali na kuwajua vema watendaji wa serikali ili kanisa lidihujumie bali liimarike
Kupitia taarifa hizo ndio zinatambua ubinafs, ufisad, wa viongoz na kuamua kuleta haki na usawa Kwa wananchi
 
Pia taarifa hizo Zach kisiasa husaidia kufanya ushawishi wa kiongoz anaye hitajika na tena mwenye ushawishi wa kililinda na kuliimarisha kanisa
Kwa nchi nyingi kanisa katoliki likiwa makini lina influence kwenye uchaguz wa mkuu wa nchi na mabaraza
Ukiangalia sasa uislamu nao,sasa unafanya haya Kwa kuweka makubaliano ya kimkataba na wagombea ukuu wa nchi hususan kenya na tz
Asante karibuni
 
kiongozi wa kanisa katoliki ndiye mkuu wa viongozi wa nchi zote duniani zilizopo ndani ya umoja wa mataifa..
japo humtumia sana mmarekani katika mambo yake. ingia goole tafuta zaidi maana hata tutaonekana kunachafua kanisa japo ndio ukweli.


Mkuu islets fungua macho sisi, kiongozi hujachafua kanisa tiririka na mi mwanafunzi nijue macho na masikio yangu yana uchafu safisha bana
 
Ndugu yangu Time Bandit nakubaliana na wewe lakini hilo la namba moja ni propaganda ndani ya propaganda, si kweli kuwa uislam umeundwa na Catholic.
Be open-minded tu mkuu. Fanya utafiti wako unajua mengi zaidi. Japokuwa kama ni mkatoliki get prepared to be shocked!
 
Last edited by a moderator:
Pata kitabu hiki soma then utapata mwanga kuhusu majibu ya swali lako.. 1436370246434.jpg
 
middle east muongo hana sauti Obama itakuwa papa papa hana sauti dunian kote ila n kwaabadhi ya nchi e.g saudia Iraq Yemen Qatar na zngne km Sudan papa atawambia nn pia papa hawez kuipangia Tz jinsi ya kuish nyerere alkkuwa amejarbu kulitia kanisa ndani ya chama na kuwapa pesaza walipa kodi lkn watu now wamesoma sio wajinga kupiga kelele mengi yamepungua ndomana znz wanasema na bara pia kirefu.cha CCM n Catholic Church Movement..... lkn me nakataa n nyerere tu kulingiza kanisa ila kumbukeni uhuru wa nchi hii haukupiganiwa na nyerere wala wakristo Bali waislam na nyerere aliitwa tu na baadae kuwauwa wengne na kuwaweka vizuizini lkn na yeye kashaonja mauti ladha yake

umejitahidi KUBWABWAJA
 
Mnaona tu mfano mzuri hata mchungaji yule aliyemkashfu Askofu Pengo alivyoandamwa.
 
Mwezi wa tisa, pope atahutubia bunge la seneti la Marekani. Jiulize, ni kiongozi gani wa dini anaweza akahutubia bunge?
Pia kwa wakatoliki, tar 8/12/2015-20/11/2016 wana EXTRAODINARY JUBILEE OF MERCY. Hebu google hiyo jubilee na usome kwa makini maazimio yaliyopo. Kama utasoma kwa makini, na pia ukiwa na historia ya kanisa katoliki(namna lilivyopata kuiongoza dunia) na namna linavyotaka kuja kuitawala dunia, nadhani utaelewa kwa uzuri zaidi.
 
viongozi wapatapo madaraka wanaenda vatican kubusu pete ya papa we unafikiri ni nn SALUTE baba

Hata neno salute ni neno la Kilatini maana yake afya,Salaam,shalom, daressalaam
 
Hebu Google! Hebu Google na hii hapa.....you know nothing....go Google this..


Hivi siku wakiondoa hiyo Google :what::what:
 
Back
Top Bottom