Kuna muunganiko gani wa kijasusi kati ya Serikali na Kanisa Katoliki?

Angalia movie la ANGELS AND DEMONS utapata picha kidogo
 
Mh..ila umetoa siri ya rafiki yako. Asante kutujuza.
 
Link Kanisa Katoliki launganisha sikukuu ya Uhuru Tanganyika
 
Hapa wenye dini yao watakuja na povu lkn yote nikujidanganya tu na kujipa ujiko wanaojua wapo kimya kuwasoma wenye mtazamo finyu wenye mirengo ya kidini
 

Yawezekana, kumbe waliopata uhuru ni waislam na sio waTanganyika!!! sasa kulialia kunatoka wapi wakati uhuru ulipatikana kwa wapiganaji ambao unasema ni Waislam (Hawa nao wanatakiwa waitwe wafuata mila za kiarabu badala ya kufuata za kiafrika).
 
wala usiogepe...yote hayo ni kwa ajiri kuifanya tanzania iwe salama...
NB:kuhusiana na huyo rafikiyo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…