Ninasikia Uganda hata ukiwa na mkeo chumbani mnamuongelea Museveni, kesho unaitwa kuhojiwa na usalama wa Taifa.Some people think that being in government for a long time is a bad thing. But the more you stay, the more you learn. I am now an expert in governance-Yoweri Kaguta Museveni
Hata mkikutwa wawili au watatu mmesimama barabarani mtahojiwa kuwa mnajadili nini😆😆😆Ninasikia Uganda hata ukiwa na mkeo chumbani mnamuongelea Museveni, kesho unaitwa kuhojiwa na usalama wa Taifa.
Aaah picha 1, jumbe 10000000.
Mojawapo ya vitu vinavyonishangaza kuhusu wewe ni kufahamu mambo mengi, ya nyanja nyingi. Your so amazing.Matatizo ya viongozi wetu ni kuamini ulinzi wa ndani bila kufikiria kuwa mipango inaweza kupangwa nje ya nchi.
Rais wa Guinea hakutegemea kuwa mipango ya kumpindua ilipangwa Zimbabwe ikiongozwa na Mark Thatcher pamoja na rafiki yake wa SAS Andrew Mann
Hao wa nje wanaangalia potentials zilizopo, Guinea Thatchers na Mann walijua wakifanikiwa mikataba ya Madura itawawezesha kuuaga umasikini.
Ili awe salama anapaswa amuite aliyempandisha hapo ili amshushe.
Kiinglish chako sasa!Mojawapo ya vitu vinavyonishangaza kuhusu wewe ni kufahamu mambo mengi, ya nyanja nyingi. Your so amazing.
Wewe ni Mojawapo ya watu naotamani kukutana nao mubashara
Unajidanganya sana kudhani Mzee baba yupo kwenye hali kama hiyo,kwa wapinzani wake sawa.....Afadhali utangaze kung’atuka ubaki na heshima yako. Unaweza kupata msaada wa kuondolewa kwenye makali. Uking’ang’ania unaweza kuishia kama Gadafi.