Kuna mwanamke kaninyima game tena akisingizia show zangu ni kali

Kuna mwanamke kaninyima game tena akisingizia show zangu ni kali

VINICIOUS JR

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2022
Posts
208
Reaction score
518
Kwema wakuu.

Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna mwanamke nimekutana nae mara mbili hivi karibuni sasa juzi hapaa nimemwambia irudiwe tena akanijibu kuwa show zangu kali ukizingatia mara zote nimepiga kimoja kimoja tu sasa najiuliza inakuaje anasema show zangu kali wakati sijampa dose kamili au ananichora?

Nawasilisha.
 
Kwema wakuu. kama mada inavojieleza hapo juu, kuna mwanamke nimekutana nae mara mbili juzi sasa juzi nimemwambh irudiwe tenaa akanijibu kua show zangu kali ukizngatia mara zote nimepga kimoja kimoja tu sasa najiuliza inakuaje anasema show zangu kali wakati sijampa dose kamili au anichora, Nawasilisha.
Huyo ana kunafikia anashindwa kukuambia tuu umemchafua huwezi chochote. Siku zote mwanamke ukimpa show kali atatamani yeye mwenyewe irudiwe bila hata ya wewe kumwambia irudiwe.. ukiona umenyandua mwanamke alafu anakupiga chenga kukupa show nyingine elewa hakuna ulichofanya awali zaidi ya kumchafua ni vile anakukwepa kiakili hataki kukuropokea usije ukajisikia vibaya
 
Kwema wakuu.

Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna mwanamke nimekutana nae mara mbili juzi sasa juzi nimemwambia irudiwe tena akanijibu kuwa show zangu kali ukizingatia mara zote nimepiga kimoja kimoja tu sasa najiuliza inakuaje anasema show zangu kali wakati sijampa dose kamili au anichora

Nawasilisha.
Lipia tangazo
 
Kwema wakuu.

Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna mwanamke nimekutana nae mara mbili juzi sasa juzi nimemwambia irudiwe tena akanijibu kuwa show zangu kali ukizingatia mara zote nimepiga kimoja kimoja tu sasa najiuliza inakuaje anasema show zangu kali wakati sijampa dose kamili au anichora

Nawasilisha.
Ukiona mwanamke umepiga nae game then hataki irudiwe tambua tu kuwa Low Performance!!
 
Kwema wakuu.

Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna mwanamke nimekutana nae mara mbili hivi karibuni sasa juzi hapaa nimemwambia irudiwe tena akanijibu kuwa show zangu kali ukizingatia mara zote nimepiga kimoja kimoja tu sasa najiuliza inakuaje anasema show zangu kali wakati sijampa dose kamili au ananichora?

Nawasilisha.
Hii nchi ina vijana wa ovyo sana! Hawana mchango wowote katika taifa!
 
Kwema wakuu.

Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna mwanamke nimekutana nae mara mbili hivi karibuni sasa juzi hapaa nimemwambia irudiwe tena akanijibu kuwa show zangu kali ukizingatia mara zote nimepiga kimoja kimoja tu sasa najiuliza inakuaje anasema show zangu kali wakati sijampa dose kamili au ananichora?

Nawasilisha.
Anakuchora aisee jitafakar ,,ww upo daslam?
 
wewe ni mzembe kazini, hapo aanakujaza upepo, ukiwa na shoo kali mwanamke hakuambii nakuja unakuta amekuja mwenyewe, kama unaishi geto basi atakuja na mazagazaga yote ya kupika ili mle mshibe halafu ule, mwanamke anakuambia eti una show kali hajakununulia hata zawadi, yaani ukiwa na show kali zawadi inanunuliwa bila taarifa haya mambo D mbili hazitoshi kuyatambua mpaka uwe na D 4
 
Kwema wakuu.

Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna mwanamke nimekutana nae mara mbili hivi karibuni sasa juzi hapaa nimemwambia irudiwe tena akanijibu kuwa show zangu kali ukizingatia mara zote nimepiga kimoja kimoja tu sasa najiuliza inakuaje anasema show zangu kali wakati sijampa dose kamili au ananichora?

Nawasilisha.
LIPIA TANGAZO
 
Kwema wakuu.

Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna mwanamke nimekutana nae mara mbili hivi karibuni sasa juzi hapaa nimemwambia irudiwe tena akanijibu kuwa show zangu kali ukizingatia mara zote nimepiga kimoja kimoja tu sasa najiuliza inakuaje anasema show zangu kali wakati sijampa dose kamili au ananichora?

Nawasilisha.

Hela ulimpa?
 
Back
Top Bottom