joseph_mbeya
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,123
- 2,935
commercial break
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama ukimpa hela lakini ukiona anakataa game kurudiwa, jua tu Low Perfomance!!Usipompa hela hutamuona tena abadani
Vinicious jr sasa hivi ni asubuh kafanye kazi utafute hela atarudi tu.Kwema wakuu.
Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna mwanamke nimekutana nae mara mbili hivi karibuni sasa juzi hapaa nimemwambia irudiwe tena akanijibu kuwa show zangu kali ukizingatia mara zote nimepiga kimoja kimoja tu sasa najiuliza inakuaje anasema show zangu kali wakati sijampa dose kamili au ananichora?
Nawasilisha.
Yaani umeongea ukweli kabisa mkuu....Sasa kama show kali ndio akunyime😂
Jiongeze ni aidha ulimpaka shombo ama haujui kumsukumia ukuni, maandalizi ni zero, we ulimparamia na ukijua sifa ni kuingiza toa tu, mwishowe ikawa kero kwake, umepiga pumbu muda mrefu usio na faida.
Muache bana 😂😂😂😂😂Vinicious jr sasa hivi ni asubuh kafanye kazi utafute hela atarudi tu.
Hata kama ukimpa hela lakini ukiona anakataa game kurudiwa, jua tu Low Perfomance!!
Nini sasa 😂😂😂😂Hihiiiiii!¡!¡!!!! Hahahahhaaa ,,,, wajameni......
😂😂😂 yaweza kuta umeleweshwa sifa pasina kujua knyume chake ili ujikute nawe kidume kumbe ww n AshaKwema wakuu.
Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna mwanamke nimekutana nae mara mbili hivi karibuni sasa juzi hapaa nimemwambia irudiwe tena akanijibu kuwa show zangu kali ukizingatia mara zote nimepiga kimoja kimoja tu sasa najiuliza inakuaje anasema show zangu kali wakati sijampa dose kamili au ananichora?
Nawasilisha.
Achana na pesa mkuu.... Hakutoa showWe sema tu hukutoa hela
NakaziaHuyo ana kunafikia anashindwa kukuambia tuu umemchafua huwezi chochote. Siku zote mwanamke ukimpa show kali atatamani yeye mwenyewe irudiwe bila hata ya wewe kumwambia irudiwe.. ukiona umenyandua mwanamke alafu anakupiga chenga kukupa show nyingine elewa hakuna ulichofanya awali zaidi ya kumchafua ni vile anakukwepa kiakili hataki kukuropokea usije ukajisikia vibaya
Mkuu wako tayari hata bure, kama Perfomance iko juu/nzuriHawakatai hela labda kama hukumpa za kutosha, vingine hivyo ni visingizio tu!
Bambo Mafii Yake Yule MtuTangazo bayaaaa kama la wembe wa Mr kick
Nashangaaaa tu.Nini sasa 😂😂😂😂
Unashangaa nn sasa😂😂😂Nashangaaaa tu.