[emoji736] [emoji736] [emoji736] [emoji736]Ipi sasa si unajua wameimba nyimbo nyingi hao au ya wanaume kama mabinti
[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]Si nilikwambia mimi. Itakua alivuta sasa akajiona keshahama bongo akalipuka. Unambipu Magu hujipendi nini.
emmyta njoo ujibu hapaNaskia nmeporwa nafac
Yang jmn kuna ukweli
Nimetia mguu sasa hivi na uzi ushakuwa mrefu, kama kashatajwa niambie nimjue.Haya mtajeee mwanaume kulia lia kwenye mapenz huo sio uanaume
Mkuu we mtaje tu maana unaweza kukaa nalo moyon watu wakapiga counter attack
Bado mkuu tulia kasema nane kamiliNimetia mguu sasa hivi na uzi ushakuwa mrefu, kama kashatajwa niambie nimjue.
Asanteekuacha insta na kujua umuhimu wa jf
Saa nane bado mkuuNimetia mguu sasa hivi na uzi ushakuwa mrefu, kama kashatajwa niambie nimjue.
Sawa ngoja nivute subiraBado mkuu tulia kasema nane kamili
Loading....Saa nane bado mkuu
Namsaidia kulindaThe the the yan umemuita
kim jong
Hata mm
Saa nane kamili nimtaje, na nusu mbali sanaNikirudi humu rasmi hapo baadae Saa 8 na Nusu juu ya alama nitamtaja ila kama nikiona Watu wengi mnanishawishi nimtaje na najua atafurahi mno kwani itakuwa ni bonge la suprize Kwake.
Ha ha ha tulia zali linaweza kukuangukia[emoji1] [emoji1] [emoji1]Umeandika mura mapigo ya moyo yameongezeka.
Nakutizama hivyoo..hahha[emoji23] [emoji23] [emoji23] hakuna mwiz bana usimrushe roho