GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Yaani kabisa 'Mimate' Kabudi na 'Saa 12 Jioni' Lukuvi ndiyo wautake Urais wa JMT kwa 2025?
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...mcheza kwao hutunzwa...Wakati mwiikulu na mwezi wa kwanza ndio wanaotolea mimacho hicho kiti chake ila kawakumbatia na hataki kusikia lolote.
Hawa wakiambiwa wachague uhai na urais wanaweza kuchagua Urais.Wakati mwiikulu na mwezi wa kwanza ndio wanaotolea mimacho hicho kiti chake ila kawakumbatia na hataki kusikia lolote.
mama siyo yeye anaongoza nchi, ni wahuniMama anaenda kuizika CCM moja kwa moja tutegemee watu hawa kuibuka kuelekea uchaguzi wakitema nyongo ambazo zitaiumbisha CCM
GENTAMYCINE huwa napenda mno Kukutana na Critical Thinkers kama Wewe hapa JamiiForums kutokana na Jambo Muhimu na la Msingi pia Uliloliandika hapa kuliko 'damn Fools' kama akina Chura ambao hupenda sana Kukurupuka Kuchangia Mada zangu ambazo bahati mbaya Kwao ni kwamba nyingi huwa zinazidi Uwezo wao Duni wa Kufikiri waliobarikiwa nao na Mwenyezi Mungu.Wanasema 'ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya'....hiyo ya kuutaka urais 2025 ilitumika tu kama sababu ya kuwamaliza hao miamba wa awamu ya 5.
Yule bibi katudhalilisha sasa sisi nguli wa siasa. Povu lote lile kumbe anataka kulipa fadhila tu.Yaani kabisa 'Mimate' Kabudi na 'Saa 12 Jioni' Lukuvi ndiyo wautake Urais wa JMT kwa 2025?
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Mwache aendelee kukumbatia nyuki tuWakati mwiikulu na mwezi wa kwanza ndio wanaotolea mimacho hicho kiti chake ila kawakumbatia na hataki kusikia lolote.
Yaani kabisa 'Mimate' Kabudi na 'Saa 12 Jioni' Lukuvi ndiyo wautake Urais wa JMT kwa 2025?
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Aliishaambiwa hazijui siasa za Tanganyika; atakujazinduka wakati yuko njiani kuelekea Makunduchi!Mwache aendelee kukumbatia nyuki tu
KabisaAliishaambiwa hazijui siasa za Tanganyika; atakujazinduka wakati yuko njiani kuelekea Makunduchi!
Wale ndio washirika zake ndio maana kawapa wadhifa, hao aliowatema ndio maadui.Sijui kama Samia anawajua maadui zake? Kuna usemi wa “ Know your enemies and you will win one hundred battles “ Mama kawakumbatia maadui ajue sio rahisi kushinda vita iliyo mbele yake!
Wanamdanganya kuwa wakimsaidia kubaki 2025 atawaachia akimalizaYaani kabisa 'Mimate' Kabudi na 'Saa 12 Jioni' Lukuvi ndiyo wautake Urais wa JMT kwa 2025?
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
The system is rigged; it is feeding Samia wrong information! She is toast.Wale ndio washirika zake ndio maana kawapa wadhifa, hao aliowatema ndio maadui.