Kuna Mwanaume Mwenzangu yoyote hapa JamiiForums mwenye Ujasiri huu wa Kinafiki na Uwongo kama wa huyu?

Kuna Mwanaume Mwenzangu yoyote hapa JamiiForums mwenye Ujasiri huu wa Kinafiki na Uwongo kama wa huyu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Mimi na Jennifer sio na hatujawahi kuwa wapenzi, naweza kulala nae kitanda kimoja usiku mzima na tusifanye chochote tukaishia kupiga stori tu"- Othman Njaidi, "Patrick Kanumba", Mwigizaji wa filamu Tanzania.

Chanzo: Mitandaoni

Yaani kabisa Nadindisha vyema, halafu nilale na Mbunye iko pembeni yangu nisimsokomezee nao? Nimerogwa au?
 
Kipindi cha nyuma hii ilishanitokea mkuu , sema nilikua mitungi hatari nikaishia kuweka mkono tu, asubuhi kuamka nina hangover ya hatari ,kiufupi hakuna kitu nilifanya😁😁
downloadfile-48.jpg
uliishia kuweka nini...?
 
Inategemea,yawezekana wanachukuliana kama ndugu,lakini pia unaweza kumtamani na ukajizuia
 
"Mimi na Jennifer sio na hatujawahi kuwa wapenzi, naweza kulala nae kitanda kimoja usiku mzima na tusifanye chochote tukaishia kupiga stori tu"- Othman Njaidi, "Patrick Kanumba", Mwigizaji wa filamu Tanzania.

Chanzo: Mitandaoni

Yaani kabisa Nadindisha vyema, halafu nilale na Mbunye iko pembeni yangu nisimsokomezee nao? Nimerogwa au?

Kama hujakutana na hivi vitu ujue bado sana kwenye sekta ya mapenzi. Ongeza bidii

1. Hujatuma nauli ikaliwa bila kuja

2. Pewa taarifa za uongo

3. Kulala na mwanamke amebana miguu mpaka asubuhi na usiweze kumgonga
 
Kama hujakutana na hivi vitu ujue bado sana kwenye sekta ya mapenzi. Ongeza bidii

1. Hujatuma nauli ikaliwa bila kuja

2. Pewa taarifa za uongo

3. Kulala na mwanamke amebana miguu mpaka asubuhi na usiweze kumgonga
Labda kwa Wanaume Wapumbavu au Mashoga ndiyo hukumbwa na hili ila kwa Sisi 'Wakandaji Tukuka' ni mbele kwa mbele tu.
 
Back
Top Bottom