The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,147
Alikua na roho mbaya kama Jiwe la ChatoHabari wakuu.
Nauliza kama kuna mwenye video au audio ya sauti ya Marehemu Sokoine??
Msaada kwa mwenye nazo....
Sawa.Alikua na roho mbaya kama Jiwe la Chato
Kwanini??Overrated
Bosi wake nani??Alikuwa na mawazo ya kimasikini kweli kweli kama aliyekuwa bosi wake
Alikufa masikini yule mzee na kwa Mungu analo la kujibu. Huwezi kukaa mtop miaka yote ile unaacha familia katika hali ya kushangaza kiasi kile aseee!Bosi wake nani??
Nyerere?
Kwahiyo ulitaka aibe au??Alikufa masikini yule mzee na kwa Mungu analo la kujibu. Huwezi kukaa mtop miaka yote ile unaacha familia katika hali ya kushangaza kiasi kile aseee!
Hivi ni kweli watoto wake ni wa kuonewa huruma kiasi cha kupewa tuvyeo kama hivi!?
Kuna tofauti kubwa kati ya kuhubiri maneno ya Mungu na kukamata Dola. Nitajie mtoto mmoja tu wa viongozi waliofuatia baada yake ambaye anaishi kwa kudunduliza kama mimi ambaye sina hata walau binamu tu huko juu! Hakuna
Yule mzee angehubiri neno la Mungu angefaulu kwa kiwango Cha juu sana
Kiongozi kama huyu hawezi kuiletea nchi maendeleo, ukipenda kuishi kinyonge nyonge, kimasikini maskini huwezi kuendea maana every time uko kwenye confortable zoneAlikufa masikini yule mzee na kwa Mungu analo la kujibu. Huwezi kukaa mtop miaka yote ile unaacha familia katika hali ya kushangaza kiasi kile aseee!
Hivi ni kweli watoto wake ni wa kuonewa huruma kiasi cha kupewa tuvyeo kama hivi!?
Kuna tofauti kubwa kati ya kuhubiri maneno ya Mungu na kukamata Dola. Nitajie mtoto mmoja tu wa viongozi waliofuatia baada yake ambaye anaishi kwa kudunduliza kama mimi ambaye sina hata walau binamu tu huko juu! Hakuna
Yule mzee angehubiri neno la Mungu angefaulu kwa kiwango Cha juu sana
Yani nilitaka kusema hivyohivyo. Jamaa alikuwa very unreasonable, aliamini kwenye mambo ya ujamaa sana alikuwa hatoi nafasi ya kumsikiliza mtu Yani akikutuhumu ujue umekwisha. Matajiri walipata shida sana. Nae ndio maana alikufa mapema sana.Alikua na roho mbaya kama Jiwe la Chato
AiseeYani nilitaka kusema hivyohivyo. Jamaa alikuwa very unreasonable, aliamini kwenye mambo ya ujamaa sana alikuwa hatoi nafasi ya kumsikiliza mtu Yani akikutuhumu ujue umekwisha. Matajiri wakipata shida sana. Nae ndio maana alikuwa mapema sana.
Alikufa mapema kwa sababu majizi walimuua.Yani nilitaka kusema hivyohivyo. Jamaa alikuwa very unreasonable, aliamini kwenye mambo ya ujamaa sana alikuwa hatoi nafasi ya kumsikiliza mtu Yani akikutuhumu ujue umekwisha. Matajiri walipata shida sana. Nae ndio maana alikufa mapema sana.
We mbwa umetokea vichakani mnachambia majani unadhani kila mwenye hela ni mwizi. Tumewafundisha kuchambia maji leo unajitutumua kutukana mitandaoni inashinda humu masaa yote. StupidAlikufa mapema kwa sababu majizi walimuua.
Wale baba zenu majizi wa kipindi kipindi kile ndio hasa waliomuua.
Nyie MAJIZI na baba zenu ndio mliomuua yule mzalendo shupavu.We mbwa umetokea vichakani mnachambia majani unadhani kila mwenye hela ni mwizi. Tumewafundisha kuchambia maji leo unajitutumua kutukana mitandaoni inashinda humu masaa yote. Stupid
TBC na TFCTBC wanazo wamezifungia kwenye maktaba yao sijui kwa manufaa ya nani badala waziweke public
Unaujua vizuri wakati wa mwalimu!?? Nilishamuona mbunge mmoja aliyekuwa mbunge nyakati za mwalimu sikuamini!??Alikufa masikini yule mzee na kwa Mungu analo la kujibu. Huwezi kukaa mtop miaka yote ile unaacha familia katika hali ya kushangaza kiasi kile aseee!
Hivi ni kweli watoto wake ni wa kuonewa huruma kiasi cha kupewa tuvyeo kama hivi!?
Kuna tofauti kubwa kati ya kuhubiri maneno ya Mungu na kukamata Dola. Nitajie mtoto mmoja tu wa viongozi waliofuatia baada yake ambaye anaishi kwa kudunduliza kama mimi ambaye sina hata walau binamu tu huko juu! Hakuna
Yule mzee angehubiri neno la Mungu angefaulu kwa kiwango Cha juu sana
Alijiua mwenyewe kwa kujifanya shujaa anapigana Vita ya Corona bado wewe mbwa kabisaNyie MAJIZI na baba zenu ndio mliomuua yule mzalendo shupavu.
Wacha kujitutumua hapa, MWIZI mkubwa wee!
Habari wakuu.
Nauliza kama kuna mwenye video au audio ya sauti ya Marehemu Sokoine?
Msaada kwa mwenye nazo....
THE BOOK : JAMIIFORUMS IMEJAA HAZINA MFANO HUU KUHUSU OMBI LAKO