We mtu ni mpuuziAlikufa masikini yule mzee na kwa Mungu analo la kujibu. Huwezi kukaa mtop miaka yote ile unaacha familia katika hali ya kushangaza kiasi kile aseee!
Hivi ni kweli watoto wake ni wa kuonewa huruma kiasi cha kupewa tuvyeo kama hivi!?
Kuna tofauti kubwa kati ya kuhubiri maneno ya Mungu na kukamata Dola. Nitajie mtoto mmoja tu wa viongozi waliofuatia baada yake ambaye anaishi kwa kudunduliza kama mimi ambaye sina hata walau binamu tu huko juu! Hakuna
Yule mzee angehubiri neno la Mungu angefaulu kwa kiwango Cha juu sana
Kwa hisani kubwa ya M.M Mwanakijiji mwanaJF JF Exclusive: Video/Audio ya Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine (1978)
Alikuwa na damu ya Jamhuri ya Muungano
Ni Trilionea?Unaujua vizuri wakati wa mwalimu!?? Nilishamuona mbunge mmoja aliyekuwa mbunge nyakati za mwalimu sikuamini!??
We ni mjamaaWe mtu ni mpuuzi
Hawataki [emoji2788][emoji2788]TBC achieni speech za viongozi wa zamani ziwasaidie wananchi kujua nchi yao ilitoka wapi imepitia mema na magumu gani
Yaelekea kuna jitu moja tu lina roho mbaya pale
Hotuba za zamani zitawaumbua mafisadi.. Hv akiongea Nyerere speech enzi zile za azimio la Arusha watanzania si leo watavamia jela kumpiga rugemalila au SinghYaelekea kuna jitu moja tu lina roho mbaya pale
🤣 😀Hv akiongea Nyerere speech enzi zile za azimio la Arusha watanzania si leo watavamia jela kumpiga rugemalila au Singh
Nyerere angeiba,mngekuta kitu?Alikufa masikini yule mzee na kwa Mungu analo la kujibu. Huwezi kukaa mtop miaka yote ile unaacha familia katika hali ya kushangaza kiasi kile aseee!
Hivi ni kweli watoto wake ni wa kuonewa huruma kiasi cha kupewa tuvyeo kama hivi!?
Kuna tofauti kubwa kati ya kuhubiri maneno ya Mungu na kukamata Dola. Nitajie mtoto mmoja tu wa viongozi waliofuatia baada yake ambaye anaishi kwa kudunduliza kama mimi ambaye sina hata walau binamu tu huko juu! Hakuna
Yule mzee angehubiri neno la Mungu angefaulu kwa kiwango Cha juu sana
Hiyo mijitu ni mijinga sana.. Yani unalalama Nyerere hajaiba.. Hamna rais makini Afrika kama Nyerere mpaka sasa hajatokea mtu aliyeweka uafrika na utaifa mbele kuliko kitu chochoteNyerere angeiba,mngekuta kitu?
Madini yote,gesi yote singeisha?
Kuwa na adabu kijana.
Hawa wanaoiba sasa hv,walisomeshwa kwa pesa ya umma aliyokusanya na kusimamia Nyerere.
Kuna hotuba moja ya nyerere anawasema maaskofu na mashehe niliisikia bado mdogo sana huko TBC kipindi hicho inaitwa RTD, Nimeitafuta sana ila sijaipata bado.TBC na TFC
Hata hotuba nyingi za Mwl Nyerere zimewekwa Youtube na waandishi wa habari wa nje ya nchi, wakati vyombo vyetu vikiwa vimezifungia nami huwa najiuliza swali kama hilo, kuna haja gani kujaza stores na vitu visivyo wanufaisha watanzania, inasemekana kuna video za Mzee Kawawa pia alipokuwa mwigizaji nazo wamezifungia sijui ni ufinyu wa mawazo au roho mbaya hata haieleweki
Wana mentality ya hovyo sana, nimefuatilia Youtube documentaries nyingi kuhusu Mwl Nyerere ni za wazungu na zinavutia sana ila wakwetu hapa bado wamefungia habari makabatini mpaka ziote fungusKuna hotuba moja ya nyerere anawasema maaskofu na mashehe niliisikia bado mdogo sana huko TBC kipindi hicho inaitwa RTD, Nimeitafuta sana ila sijaipata bado.
TBC hawafanyi sawa kuzofungia ndani hizo hptuba. Kazi kujisifia tu kuwa wana maktaba kubwa.
Wew jinga kweli mtu mtot wake tu mwenye nameloku Ana jumba maeneo ya nanenane Arusha pale lenye zamani la milioni Mia nne nakumbuka tulienda na broo wangu kumfanyia valuation mwaka 2015 acha kwa upande wa Kaka ake Joseph wa wizarani. Aise wako vzr ile familia acha kbsaaAlikufa masikini yule mzee na kwa Mungu analo la kujibu. Huwezi kukaa mtop miaka yote ile unaacha familia katika hali ya kushangaza kiasi kile aseee!
Hivi ni kweli watoto wake ni wa kuonewa huruma kiasi cha kupewa tuvyeo kama hivi!?
Kuna tofauti kubwa kati ya kuhubiri maneno ya Mungu na kukamata Dola. Nitajie mtoto mmoja tu wa viongozi waliofuatia baada yake ambaye anaishi kwa kudunduliza kama mimi ambaye sina hata walau binamu tu huko juu! Hakuna
Yule mzee angehubiri neno la Mungu angefaulu kwa kiwango Cha juu sana
Ona JIZI hili linajitetea!Alijiua mwenyewe kwa kujifanya shujaa anapigana Vita ya Corona bado wewe mbwa kabisa
Habari wakuu.
Nauliza kama kuna mwenye video au audio ya sauti ya Marehemu Sokoine?
Msaada kwa mwenye nazo....