AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Aiseee wakuu nimeshangaa sana kulisoma hili tangazo maeneo ya nane nane morogoro.
My take:
Ina maana hivi nchi hii vyuo ni viwili tu?
we sema unataka ligi ya vyuo nimekusitukia! Hlo tangazo hujaliona wala nini...
N'way nenda mkavute ganja kwanza then akuombee wewe ka unataka uombewe!
wewe bila shaka utakuwa ni kichaa uliyevimbiwa na mirungi, unadhan wote wana upeo hafifu kama wako.
Aiseee wakuu nimeshangaa sana kulisoma hili tangazo maeneo ya nane nane morogoro.
My take:
Ina maana hivi nchi hii vyuo ni viwili tu?