Naunga mkono hojaKama kichwa cha habari kinavyojieleza, sijawahi kusikia makamu mwenyekiti ccm mwanamke, pia Katibu mkuu ccm mwananmke.
Tumeona makamu wa rais mwanamke na akawa rais ki bahati bahati tu. Hizo nafasi haziwezi kutwaliwa na mwanamke huko ccm? vipi katibu mkuu ccm haiwezekani akapewa mwanamke pia?
Haya sasa Chongolo alijiuzulu mwenyewe, kwanini wanaosemwa kuirithi nafasi yake ni wanaume watupu?
CCM waachieni mamam zetu labda tutabahatisha anayeweza.
Tega sikio kwa makini!Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, sijawahi kusikia makamu mwenyekiti ccm mwanamke, pia Katibu mkuu ccm mwananmke.
Tumeona makamu wa rais mwanamke na akawa rais ki bahati bahati tu. Hizo nafasi haziwezi kutwaliwa na mwanamke huko ccm? vipi katibu mkuu ccm haiwezekani akapewa mwanamke pia?
Haya sasa Chongolo alijiuzulu mwenyewe, kwanini wanaosemwa kuirithi nafasi yake ni wanaume watupu?
CCM waachieni mama zetu labda tutabahatisha anayeweza.
Kwani huko chadema hali ikoje? Lini wanawake walishika hizo nafasi? Acha kujitoa ufahamu.,Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, sijawahi kusikia makamu mwenyekiti ccm mwanamke, pia Katibu mkuu ccm mwananmke.
Tumeona makamu wa rais mwanamke na akawa rais ki bahati bahati tu. Hizo nafasi haziwezi kutwaliwa na mwanamke huko ccm? vipi katibu mkuu ccm haiwezekani akapewa mwanamke pia?
Haya sasa Chongolo alijiuzulu mwenyewe, kwanini wanaosemwa kuirithi nafasi yake ni wanaume watupu?
CCM waachieni mama zetu labda tutabahatisha anayeweza.
Uko sahihi maana Wenye akili wameisha CCM. Sasa hapa umetoa hoja au kioja?Kwani huko chadema hali ikoje? Lini wanawake walishika hizo nafasi? Acha kujitoa ufahamu.,
Hii dunia imeumbwa kwa ajili ya mfumo dume. Na ni ukweli kwamba wanaume pekee wanapaswa kuwa ndiyo watawala.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, sijawahi kusikia makamu mwenyekiti ccm mwanamke, pia Katibu mkuu ccm mwananmke.
Tumeona makamu wa rais mwanamke na akawa rais ki bahati bahati tu. Hizo nafasi haziwezi kutwaliwa na mwanamke huko ccm? vipi katibu mkuu ccm haiwezekani akapewa mwanamke pia?
Haya sasa Chongolo alijiuzulu mwenyewe, kwanini wanaosemwa kuirithi nafasi yake ni wanaume watupu?
CCM waachieni mama zetu labda tutabahatisha anayeweza.
Huyo namba one ka prove failure unafikiri watasubutu tena??Tega sikio kwa makini!
Hakuna kinachoshindikana jitahidi usikariri!Huyo namba one ka prove failure unafikiri watasubutu tena??
Mna mwenyekiti, mnataka na makamu na katibu mkuu? Mlijaribishwa mwenezi mkafeliKama kichwa cha habari kinavyojieleza, sijawahi kusikia makamu mwenyekiti ccm mwanamke, pia Katibu mkuu ccm mwananmke.
Tumeona makamu wa rais mwanamke na akawa rais ki bahati bahati tu. Hizo nafasi haziwezi kutwaliwa na mwanamke huko ccm? vipi katibu mkuu ccm haiwezekani akapewa mwanamke pia?
Haya sasa Chongolo alijiuzulu mwenyewe, kwanini wanaosemwa kuirithi nafasi yake ni wanaume watupu?
CCM waachieni mama zetu labda tutabahatisha anayeweza.
CCM ni Chanzo Cha MatatizoKama kichwa cha habari kinavyojieleza, sijawahi kusikia makamu mwenyekiti ccm mwanamke, pia Katibu mkuu ccm mwananmke.
Tumeona makamu wa rais mwanamke na akawa rais ki bahati bahati tu. Hizo nafasi haziwezi kutwaliwa na mwanamke huko ccm? vipi katibu mkuu ccm haiwezekani akapewa mwanamke pia?
Haya sasa Chongolo alijiuzulu mwenyewe, kwanini wanaosemwa kuirithi nafasi yake ni wanaume watupu?
CCM waachieni mama zetu labda tutabahatisha anayeweza.
Nafasi za wala nchiKama kichwa cha habari kinavyojieleza, sijawahi kusikia makamu mwenyekiti ccm mwanamke, pia Katibu mkuu ccm mwananmke.
Tumeona makamu wa rais mwanamke na akawa rais ki bahati bahati tu. Hizo nafasi haziwezi kutwaliwa na mwanamke huko ccm? vipi katibu mkuu ccm haiwezekani akapewa mwanamke pia?
Haya sasa Chongolo alijiuzulu mwenyewe, kwanini wanaosemwa kuirithi nafasi yake ni wanaume watupu?
CCM waachieni mama zetu labda tutabahatisha anayeweza.
MAwazo yako muhimu broNaunga mkono hoja
P