Labda aje atengeze silahamkuu vipi Korea kaskazini
Huyo mama analipa?Kweli kabisa, yani kuna mama mumewe alisomea Russia...
Msomi mzuri tu ila alikuwa tungi mtu...
Figo zikafeli...akaanza kubadilika rangi mwilini
Tushamfukia...
Mama kabaki mjane...
Alipata cheti hukoInawezeka mkuu Kuna ndugu yangu alikwenda kusoma china Mambo ya petroleum engineering bt Cha kushangaza amerudi bongo Sasa ivi ni bodaboda Sasa sijui kilichomkuta huko ni ni ni
Sijajua mkuu na Wala sijawai kumuulizaAlipata cheti huko
Ova
Kama kawaida unachukua mfano wa jirani yako mtoto wa mjomba wako aliekengeuka ndio unahitimisha huko hakufai.
hajacheza mbali, bodaboda si inatumia petrol.Inawezeka mkuu Kuna ndugu yangu alikwenda kusoma china Mambo ya petroleum engineering bt Cha kushangaza amerudi bongo Sasa ivi ni bodaboda Sasa sijui kilichomkuta huko ni ni ni
Aisee! Unataka umarioo...Huyo mama analipa?
sio Yugoslavia π π πWapelekenj ukraine watarudi na experience nzuri.
Haha Hahahajacheza mbali, bodaboda si inatumia petrol.
Sangu nimepita hapo advanceKuna mwalim alinifunfishaga sangu sec mby frm 2 mwanzn
Alisomeaga russia naye alikuwa mtu wa tungi sana,alikuwa anafundisha physics.....kna wakat kma mnara hausomi ....
Alikuwa ananikamata sana na pombe zile power no1 toka Malawi
Kuna siku akanikamata akasema nmpeleke mzaz shule pombe hapo kachkua zote,ikabidi nmpange
Akaniambia hzi nazitoaga wapi nkamwambia boda hko basi akasema niwe namleteaga kimtindo
Kuna siku nkaenda kwake akaniambia alipoenda russia kurudi Ali rudi na friji tu,hahaha
Ova
pole mkuu πππ€£Haha Haha
Bia inanipalia hapa
Ova
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa ni jinga sana.hajacheza mbali, bodaboda si inatumia petrol.
HahahahaKuna huyu mwingine naye ni familia maana wengi kwenye ukoo wameenda canada. Now he is 45+ yan network haisomi kabisa, kula vitu vya tanzania hawezi ni biscut, ma cornflakes na vichocolate. Basi hapa ndio akaekwa kweny kampuni walau asikae tu ndani awe zombie kazi yake ni kufika asubuhi job na kulala mda wa lunch aende akale mbali na wafanyakazi wenzake sijui anahofia kulogwa au vipi au awe na vibiskuti akalie chooni, begi hashushi kamwe mgongoni yani mtihani tupu. Sasa sijui canada ndio imemuaharibu au kuna mikono ya watu