Kuna nchi ukimpeleka mtoto kusoma chuo utajuta

Alitaka awe justin bieber wa Bonyokwa. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa ni jinga sana.
Umefanya mbavu zangu ziteseke.
Nchi nyingine ambayo haifai kupeleka mtoto wa kike ni UDSM na IFM.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23]

Wa kiume CBE - Dar.
 
Mtoa mada usemayo nikweli japo inategemea na akili ya mtu SAA zngne Kuna ndugu yangu wakaribu alienda kusoma USA akavuta Kama 10yrs amerudi na nguo zake tu yani hadi huruma Hana chchte alichofanya na Kuna mwngne alipata scholarship France akarud shoga kabsa
 
Alitaka awe justin bieber wa Bonyokwa. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Yaani mtihani. Kuna ile mtoto unafanya machafu vile upo mbali na wazazi ila ukirudi nyumbani upo kama kondoo lakini yeye hakuficha chochote kuanzia mavazi nywele yan ovyo ovyo. Mtoto anarudi utasema kuna msiba nyumban kumbe mtoto katoka canada. Tunasubir arudi tena sijui atakuja na hali gani kwani baada ya kuambiwa atabaki tz alitishia kujiua hvyo imebidi arudishwe huko akapotee mazima
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Maskini wee!!! Duuuh poleee kwa wazazi na ndugu zake.
 
Watoto wakibongo wanaosoma chuo Uganda wengi wanafanya umalaya wazazi muwe makini sana,,,wasichana wakule wengi wamepinda,wezi wanapenda hela hao,Wanafanya chochote wapate hela,Chupi zenyewe hawavai full vimin noma sana na ile miili yao, afu hawa wabongo wakienda ndio wanakua marafiki zao hatar!
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…